Arusha: Madiwani waliotimuliwa na CHADEMA wabwagwa mahakamani!

Ile kesi iliyokua inawakabili wale madiwani watano Arusha hatimaye hukumu imeshatekelezwa na wameshindwa na sasa uchaguzi wa madiwani Arusha utarudiwa tena! Souce Mahakama kuu Arusha.
<br />
<br />

Hizi ni habari njema sana!
 
Ile kesi iliyokua inawakabili wale madiwani watano Arusha hatimaye hukumu imeshatekelezwa na wameshindwa na sasa uchaguzi wa madiwani Arusha utarudiwa tena! Souce Mahakama kuu Arusha.
CCM imewaponza hawa madiwani maskini.
 
justice is like a flooding river no one can stop it,even though i'm not ideologically aligned to any political party but very happy to see the justice overcoming the downpression like this.
 
Hao mahakimu unaonesha kuwafurahia na kuwaamini. Sawa, watakapowalamba miaka 5 jela Slaa, Mbowe na Lema kwenye kesi yao ya kusababisha mauaji Arusha 5 Jan 11 ......USISITE KUWAPONGEZA KAMA ULIVYOFANYA HAPA.

Labda mkawafunge kwenye magereza ya Mwezini, ila kwa haya magereza ya mkoloni tutawatoa jioni yake
 
Lakini hawa "Madiwani-Wafu" si walikuwa wanadai kwamba ni nguvu zao ndizo zilizowafanya washinde Udiwani na si nguvu ya Chama! Kama ni hivyo kwanini wasiende TLP au CUF au hata CCM wakagombee tena kwa tiketi ya vyama hivyo badala ya kung'ang'ania Chadema!

Hata hivyo Hakimu nae namlaumu, huenda ame-overlook kwa kuwaambia kwamba wakakate rufaa kwenye CC ya Chadema. Watakwenda kukata rufaa kama nani wakati wao si wanachama wa Chadema! Walishafukuzwa hawa na majina yao yalishaondolewa. Wakiingia ofisi za Chadema ni sawa tu na Mtu wa CCM au wa TLP au wa SAU kwa hiyo hawausiki na jambo lolote la Chadema.

Kwishney!
 

sidhani kama alimanisha hivo, kusudi lake ni kumshauri ndallo baada ya kuanzisha thread basi awaache wadau wachangie, wamwulize maswali naye aendelee kufafanua. ndivyo nilivyomsoma ntagunga

Ntamaholo: Hakuna ya haja ya mimi kuulizwa maswali kaa karibu na redio na TV yako ya CCM TBC 1 saa mbili usiku upate habari kamili! Nanatumaini pia habari hii TBC1 wanaweza kuipotezea.
 
Hata hivyo Hakimu nae namlaumu, huenda ame-overlook kwa kuwaambia kwamba wakakate rufaa kwenye CC ya Chadema. Watakwenda kukata rufaa kama nani wakati wao si wanachama wa Chadema! Walishafukuzwa hawa na majina yao yalishaondolewa. Wakiingia ofisi za Chadema ni sawa tu na Mtu wa CCM au wa TLP au wa SAU kwa hiyo hawausiki na jambo lolote la Chadema.

Kwishney!
Mkuu madiwani wafu walishafanya hivyo kabla hata hawajapeleka kesi mahakamani kama sikosei...
 
Well done CDM. Ukisimama kwenye ukweli na kujiamini na msimamo wako utashinda tuu. Na hii itakua mfano na itawatia moyo wananchi wengine kukomaa na kutokukata tamaa na kupigania wanachoamini. IGUNGA here we come.
 
Mkuchika ni sawa na kenge. Kenge huwa asikii mpaka umtandike mpaka damu zimtoke maskioni. Mahakama imemtandika kenge midamu maskioni pwaaa!

Huwa napenda sana hasira ulizonazo against magamba. usijali sana tutafika tu hawa magamba lazima watakuja ondoka serikalini
 
leo nimefarijika kwa ruling ya huyu hakimu..ameweka simple and clear, ndivyo sheria inavyotakiwa katika kutenda haki
 
Uchaguzi ndio utaamua kama kweli watu wamefurahia au la!

We are going to WIN this time around..chadema watakula jeuri yao
 
Duuh ni mahakama ya Tanzania imetoa hukumu?safi sana angalau mahakama zina anza kutoa hukumu na haki mapema!
Hawa madiwani wote wanastahili kurudisha posho zote walizochukua kwa kuhudhuria vikao kwa barua ya mkuchika.
Mkuchika na Pinda wanastahili kuwaomba radhi watu wa Arusha na wa danganyika kwa ujumla!
 
Ile kesi iliyokua inawakabili wale madiwani watano Arusha hatimaye hukumu imeshatekelezwa na wameshindwa na sasa uchaguzi wa madiwani Arusha utarudiwa tena! Souce Mahakama kuu Arusha.
Ahsante Ndalo kwa hii taarifa maana hawa mafisadi walitegemea kubebwa na CCM, watajua kuwa na heshima. CDM hatulei mafissadi!!!!!!!!!!!!!!
 

Arusha nawakubali majimbo yote ya udiwani mjini arusa yatarudi tu.

cha msingi ni kuwa makini katika uteuzi wa wagombea, wasifanye kosa kuwachagua watu wasiokuwa na msimamo na wasiojua falsafa ya chama chao

Ntamaholo: Kwa hili now your talking!
 
Back
Top Bottom