Arusha kwa sasa KWISHNEY!

Mi nadhani labda mtoa mada atakua amedondoka toka huko mbele mda si mrefu ndio maana anaona kama vile mji umezorota sana..hali hii ni kawaida kama ulikua nje ya nchi kwa muda flani halafu ukarudi hm.lzima utaona kama vile hali ya maisha imeshuka sana kulinganisha na zamani!!! Zamani imeshapita..sikatai hali imekua mbaya Arusha..lakini mabadiliko ya kiuchumi ya mji wa arusha yametokea kutokana na mambo mawili makubwa....kwanza ..baada ya machimbo ya tanzanite kumilikiswa makaburu na pili...baada ya september 11, na mtikisiko wa uchumi wa dunia...watalii walipungu kwakasi ya ajabu...hivyo kwa kiasi flani uchumi wa arusa umeshuka lakini sio sana ingawa bado kuna masalia ya tanzanite na watalii..lakini ikumbukwe kua idadi ya makampuni pia imeongezeka hivyo ushindani umekua mkubwa pia katika sekta zote..mji pia umetanuka sio kama zamani town ndio ilikua kila kitu..

well elaborated. Kwa kuongezea sera mbovu za ubinafsishaji wa rasilimali zetu hasa madini ya Tanzanite ndizo zilizochangia uchumi wa wana-Arusha kudorora. Sasa hivi vijana wengi wameacha kuchimba Tanzanite kwa sababu vitalu vyenye madini mengi wamepewa wazungu. Lawama za kwanza zielekezwe kwa CCM kwa kushindwa kusaidia watanzania. Ndio maana wana-Arusha wameamua kuikataa CCM
 
Nashukuru na nimeliona limeandikwa pia kwenye blog ya michuzi. Tuacheni utani na masihara mji wa Arusha kwa sasa una hali mbaya sana. Hali ya mji wa Arusha kiuchumi kwa sasa sio maridhawa kabisa. Nilijaribu kutembelea maeneo mengi ya kibiashara km sokoni ambapo kuna maduka mbali mbali . Ikifika saa 10 tu jioni wanaanza kufunga hakuna wateja, hata zile siku za kawaida za kazi. Biashara za taxi , ma-bus ndio usiseme, karibia 90% ni mbovu mbovu sana. Hali ya usafi wa mji ni mbaya sana. Kwa kweli , wana JF tuna haja yakuutizama upya mji huu, GENEVA OF AFRICA INAPOTEA KWENYE RAMANI

Nenda shule ikusaidie kuchangia maana analysis yako finyu mno au uliandika wakati unavuta chooni ?
 
Nashukuru na nimeliona limeandikwa pia kwenye blog ya michuzi. Tuacheni utani na masihara mji wa Arusha kwa sasa una hali mbaya sana. Hali ya mji wa Arusha kiuchumi kwa sasa sio maridhawa kabisa. Nilijaribu kutembelea maeneo mengi ya kibiashara km sokoni ambapo kuna maduka mbali mbali . Ikifika saa 10 tu jioni wanaanza kufunga hakuna wateja, hata zile siku za kawaida za kazi. Biashara za taxi , ma-bus ndio usiseme, karibia 90% ni mbovu mbovu sana. Hali ya usafi wa mji ni mbaya sana. Kwa kweli , wana JF tuna haja yakuutizama upya mji huu, GENEVA OF AFRICA INAPOTEA KWENYE RAMANI

Sio Arusha tu, bali Tz nzima! umesha okota 200/= barabarani? Kila kukicha afadhali ya jana! Nenda buguruni rozana usiku uone balaa hadi tigo inapigiwa debe!
tigo buku jero voda nyongeza, tigo buku voda nyongeza......!
 
Umetumia vigezo gani katika kupima hilo mkuu na utafiti wako ulifanyika maeneo gani huko, kwa kipindi gani na hebu tushirikishe na sie tukuelewe vema.

Usije ukawa umeangalia tu jengo fulani na kuona rangi imepauka kuliko ulivyoiona hapo juzi na hapo hapo ukaamua kukimbilia JF kuandika haya maneno matupu yasiothibitishika kisayansi vile.

Nashukuru na nimeliona limeandikwa pia kwenye blog ya michuzi. Tuacheni utani na masihara mji wa Arusha kwa sasa una hali mbaya sana. Hali ya mji wa Arusha kiuchumi kwa sasa sio maridhawa kabisa. Nilijaribu kutembelea maeneo mengi ya kibiashara km sokoni ambapo kuna maduka mbali mbali . Ikifika saa 10 tu jioni wanaanza kufunga hakuna wateja, hata zile siku za kawaida za kazi. Biashara za taxi , ma-bus ndio usiseme, karibia 90% ni mbovu mbovu sana. Hali ya usafi wa mji ni mbaya sana. Kwa kweli , wana JF tuna haja yakuutizama upya mji huu, GENEVA OF AFRICA INAPOTEA KWENYE RAMANI
 
Nashukuru na nimeliona limeandikwa pia kwenye blog ya michuzi. Tuacheni utani na masihara mji wa Arusha kwa sasa una hali mbaya sana. Hali ya mji wa Arusha kiuchumi kwa sasa sio maridhawa kabisa. Nilijaribu kutembelea maeneo mengi ya kibiashara km sokoni ambapo kuna maduka mbali mbali . Ikifika saa 10 tu jioni wanaanza kufunga hakuna wateja, hata zile siku za kawaida za kazi. Biashara za taxi , ma-bus ndio usiseme, karibia 90% ni mbovu mbovu sana. Hali ya usafi wa mji ni mbaya sana. Kwa kweli , wana JF tuna haja yakuutizama upya mji huu, GENEVA OF AFRICA INAPOTEA KWENYE RAMANI


We sikia, sijui uko Arusha Sehemu gani, Hayo maduka yanayofungwa saa kumi labda tengeru na kisongo. hapa town ngoma kama kawaida 12:00 mpaka na nusu. Soko gani? soko kuu arusha watu wako kuanzia saa 11:00 asubuhi mpaka saa 2 usiku utakuta wachuuzi nje ya soko hata kama limefungwa.

Nenda kwenye ma baa, j 3 mpaka j 3 watu wanakunjwa kama kawa, Nenda clubs. WE kama apeche ni wewe. Majumba yanajengwa kila kukicha. Uliza wenye boutique. Uliza wadada wa pale shivaz kama huwa wanalala njaa.

SIMBAYA hata karatu na mto wa mbu ni arusha pia, inawezekana unamaanisha huko.

CIAO
.
 
Rekebisha kidogo hapo, ni Lema sio mheshimiwa mbunge. Halafu hivi wewe umeenda Mwanza hivi karibuni? Nakushauri uende ukaone biashara inavyo kwenda.

Wewe majebere,

Acha kuongea ushabiki usio na mpango wewe. MWANZA INAONGOZWA NA WABUNGE WA CHADEMA kuanzia Nyamagana mpaka Ilemela. CHADEMA ndiyo imetoa Meya wa Jiji la MWANZA linaloongoza KWA USAFI NA KWA UCHUMI IMARA.

Arusha CCM walichakachua Uchaguzi ili wao wapata U-meya ingawa Ubunge ni CDM. Kila mtu anajua kilichotokea. Mbunge G.Lema alikuwa ni chaguo la Wana-Arusha lakini kwa hila za Serikali ya Magamba Mhe. Lema akaondolewa kwa mbinu za ki-Mahakama. Ninachotaka kusema ni kuwa kama CCM ingeliruhusu Uchaguzi huru na haki wa Meya Jiji la Arusha na Mbunge kutoka CDM basi hali ya Arusha ingelikuwa tofauti kabisa. Kumbuka pamoja na hali gumu za kimaisha na kiuchumi kwa nchi nzima lakini pia UTULIVU WA KISIASA WA ENEO HUSIKA NI KICHOCHEO TOSHA CHA KUKUA KWA UCHUMI.

TAFAKARI.

 
Nimeishi Arusha 30 years, hamjui Mnalosema nyie, lini maduka Arusha yalifungwa usiku sana ukiacha bar and restaurant, hamuelewi nyie watu, no research no right to speak.



Nashukuru na nimeliona limeandikwa pia kwenye blog ya michuzi. Tuacheni utani na masihara mji wa Arusha kwa sasa una hali mbaya sana. Hali ya mji wa Arusha kiuchumi kwa sasa sio maridhawa kabisa. Nilijaribu kutembelea maeneo mengi ya kibiashara km sokoni ambapo kuna maduka mbali mbali . Ikifika saa 10 tu jioni wanaanza kufunga hakuna wateja, hata zile siku za kawaida za kazi. Biashara za taxi , ma-bus ndio usiseme, karibia 90% ni mbovu mbovu sana. Hali ya usafi wa mji ni mbaya sana. Kwa kweli , wana JF tuna haja yakuutizama upya mji huu, GENEVA OF AFRICA INAPOTEA KWENYE RAMANI
 
ukiona hivyo ujue ndio unakua ss... na majukumu yanaengezeka..
karibu utuuzimani kijana.. :mod:
 
Nashukuru na nimeliona limeandikwa pia kwenye blog ya michuzi. Tuacheni utani na masihara mji wa Arusha kwa sasa una hali mbaya sana. Hali ya mji wa Arusha kiuchumi kwa sasa sio maridhawa kabisa. Nilijaribu kutembelea maeneo mengi ya kibiashara km sokoni ambapo kuna maduka mbali mbali . Ikifika saa 10 tu jioni wanaanza kufunga hakuna wateja, hata zile siku za kawaida za kazi. Biashara za taxi , ma-bus ndio usiseme, karibia 90% ni mbovu mbovu sana. Hali ya usafi wa mji ni mbaya sana. Kwa kweli , wana JF tuna haja yakuutizama upya mji huu, GENEVA OF AFRICA INAPOTEA KWENYE RAMANI
let the sleeping dog lie
 
Nashukuru na nimeliona limeandikwa pia kwenye blog ya michuzi. Tuacheni utani na masihara mji wa Arusha kwa sasa una hali mbaya sana. Hali ya mji wa Arusha kiuchumi kwa sasa sio maridhawa kabisa. Nilijaribu kutembelea maeneo mengi ya kibiashara km sokoni ambapo kuna maduka mbali mbali . Ikifika saa 10 tu jioni wanaanza kufunga hakuna wateja, hata zile siku za kawaida za kazi. Biashara za taxi , ma-bus ndio usiseme, karibia 90% ni mbovu mbovu sana. Hali ya usafi wa mji ni mbaya sana. Kwa kweli , wana JF tuna haja yakuutizama upya mji huu, GENEVA OF AFRICA INAPOTEA KWENYE RAMANI

tatizo ufahamu wako upo sawa na shehk ponda.
 
Maeneo ya Unga Limited, Sakina, Stand ya vifodi, ukipita maeneo hayo kwa kweli kiuchumi kunasikitisha sana maduka ya nguo hakuna wateja wakati kipindi cha nyuma biashara ilikuwa nzuri sana Arusha, hata wale vijana wajasiriamali walikuwa wanakwenda Nairobi kuchukuwa biashara saizi wapo tu mitaani hakuna kazi.

Kutaja maeneo ni sehemu tu ya propaganda zako ili uaminike. Uchumi wa Arusha haujafikia chini kiasi mnachotaka tuamini. Barabara zote za katikati ya jiji, kata za Levolosi, Ngarenaro, Kaloleni, mjini kati na maeneo mengineyo, wakandarasi wapo site wanazijenga kwa kiwango cha lami na zinasimamiwa na halmashauri. Magorofa yanaota kila kona na mengi yanajengwa na wenyeji. Utalii sasahivi ni high season. Wazungu kila mahali. Huyo aliyepita kwenye maduka ya nguo kupiga uchumi ni "mchumi" kweli maana ni mchumia tumbo tu wa Nape. Mwambie aende tena msimu wa sikukuu na watoto wanapofungua shule. Kwao hii ni low season. Arusha bar zinafanya kazi muda wote. Jioni vifodi vinagombaniwa na life inasonga. Huwezi kuifahamu Arusha kwenye monitor ya computer wala simu yako ya kichina. Njoo uje ule trupa na mtura utaifahamu Arusha na ladha yake!
 
Kutaja maeneo ni sehemu tu ya propaganda zako ili uaminike. Uchumi wa Arusha haujafikia chini kiasi mnachotaka tuamini. Barabara zote za katikati ya jiji, kata za Levolosi, Ngarenaro, Kaloleni, mjini kati na maeneo mengineyo, wakandarasi wapo site wanazijenga kwa kiwango cha lami na zinasimamiwa na halmashauri. Magorofa yanaota kila kona na mengi yanajengwa na wenyeji. Utalii sasahivi ni high season. Wazungu kila mahali. Huyo aliyepita kwenye maduka ya nguo kupiga uchumi ni "mchumi" kweli maana ni mchumia tumbo tu wa Nape. Mwambie aende tena msimu wa sikukuu na watoto wanapofungua shule. Kwao hii ni low season. Arusha bar zinafanya kazi muda wote. Jioni vifodi vinagombaniwa na life inasonga. Huwezi kuifahamu Arusha kwenye monitor ya computer wala simu yako ya kichina. Njoo uje ule trupa na mtura utaifahamu Arusha na ladha yake!

Mkuu achana na huyo Mdini Ritz, utaumiza kichwa bure huyo jamaa ni mgumu wa kuelewa!
 
Last edited by a moderator:
mkaliwakitaa unapozungumzia September 11 unarudi nyuma mpaka mwaka 2001 ile hali haina uhusiano na uchumi wa Arusha. Kwanza kabisa Uchumi wa Arusha upo juu sana kwani ni ya tatu baada ya DSM na Mwanza. Unaposema utalii umepungua unatumia vigezo gani? Kwa mawazo yako kampuni za kitalii zinaongezeka siku hadi siku au zinapungua? Jibu ni kuwa zinaongezeka; sasa kama watalii wamepungua hizo kampuni zinahudumia kina nani? Mahoteli na Camping sites zimeongezeka sana na kila moja inapata wateja wa kutosha hivyo ushawishi wenu hauna nguvu. Miaka miwili iliyopita Arusha haikuwa na "Traffic Jam" leo Jam kila kona; hayo magari yameokotwa kama Arusha Kwishney?

Najua hitimisho la hoja yenu inahusu Ubunge wa Arusha mjini


Hapa unaongea na mzawa wa arusha na mdau wa sekta tajwa, kwahiyo nakupa facts na sio siasa....Ndio baada ya september 11 , uchumi wa dunia ulianguka..ndio watalii walipungua....ndio watu walikosa kazi...ndio wimbi la kuongezeka kwa makampuni ya kitalii kumefanya kazi kuwa chahe.. na kwa taarifa yako ongezeko la hayo makampuni mengi ya ya wazawa bali ya wageni na nchi jirani..
 
Watajuta kwanini walimchagua yule kichaa, sasa hawana hata wa kuwa wakilisha Bungeni
njaasydrome ugonjwa mbaya sana utakuua unaanzia kichwani unashuka taratibu mpaka miguuni wahi haraka hospitali una kila dalili za ugonjwa huo
 
Hivi wewe ujaona matatizo ya hii nchi kwa ujumla wake na umeona ya Arusha tu? Hivi DSM mambo ni mazuri, Hivi Mwanza mambo ni mazuri? Hivi Mbeya mambo ni mazuri? Hivi Morogoro, Iringa, Dodoma nk mambo mazuri?
 
Back
Top Bottom