Arusha: Hatimaye uchaguzi wa madiwani kurudiwa

Sasa hiyo inahusiana nini na kichwa cha habari? Unazi mwingine, hovyooo!
 
siasa bongo:
cdm vs ccm
(whereby ccm=serikali, kaf, nccr etc)
 
Waziri kilaza asiyejua hata sheria na kanuni zinazohusika na wizara yake. Ama kweli, mpaka tufike 2015 tutayaona mengi kutoka kwenye serikali hii ya vilaza.

Serikali hii haifiki 2015, usiniulize kwa nini kwani akili yangu inakataa japo nailazimisha!
 
CCM wanajua fika kwamba kushinda lazima waue kama Igunga vinginevyo haki kwa haki Arusha walisha amka na tena wamemweka Lema ndani wameharibu kabisa akitoka hukok itakuwa moto mkali .Utajionea wee suburi tu .
 
Sasa hiyo inahusiana nini na kichwa cha habari? Unazi mwingine, hovyooo!
Uhusiano wa hii post na kichwa cha habari ni mkubwa sana ukizingatia Mkuchika kama muwakilishi wa serikali aliwakilisha serikali kuitunisishia misuli CDM juu ya maamuzi yake juu ya madiwani wale wa arusha na sasa yametimia yale ambayo yalipingwa na serikali kupitia muwakilishi wake ambaye ni mkuchika.
 
wakati mkuchika na mh pinda walipotangaza ujuha wao kuwa madiwani mayuda iskarioti waendelee kutambulika kama madiwani au waende mahakamani,tulikuwa pale kijenge chini na wapenda siasa wengi wakiwa wanabishana,niliwaeleza wazi kuwa ccm na govt hawana ujanja wa kupanga nani awe diwani wa cdm nani nani!wakabisha sana,nikawashauri waende mahakamani kueleza ujinga wao,wakaenda na imekula kwao. Mahakama ilipowaambia hawana ujanja wakasema eti watakata rufaa ndani ya cdm kwa kuwa kanuni hazikufuatwa,nkawauliza
 
wewe ndiye unafikiri kwa masaburi kama ni tusi zuri lipokee kwa mikono miwili


Ivi unafikiri mkuchika ana akili?huwa anafanya maamuzi kwa kutumia masaburi kama unataka kujua hili angalia kipindi alipokuwa waziri wa utamaduni na michezo aliporifungia gazeti la mwanahalisi,ukimfatilia kwa umakini utaona ni mtu wa kukurupuka sana.
 
Back
Top Bottom