Arumeru: Wandishi wa habari wapigwa mawe na mizimu na kutimka mbio. Mawe hayajulikani yanatoka wapi. Yanamwagika kama mvua

Waafrica sisi niwajinga sana, Uchawi ni Technology iliyo mbele ya wakati tukiitumia vizuri itatunufaisha.

Mfano hii technology ya mawe kurushwa na watu wasiojulikana, juju, kutupiwa majini tunaweza kuwauzia Ukraine wapambane na urusi.

Wakati Urusi wanaangaika kuingilia mawasiliano ya Ukraine, wao Ukraine wanatumia tu Ramli wanaona mipango yote ya Urusi alafu wanatuma juju wanajeshi wote wanakuwa vichaa , Au wanatumiwa mawe yasiyoonekana
Halafu sasa Putin akigundua hiyo tech imetokea tz unadhani nini kitafuata?
 
Mizimu ya kiafrika bana eti nayo haina hela inarusha mawe tu..
Mi tukio la kweli..nona mshikaji anaishi maeneo hayo.
Kumekuwa na matukio ya ajabu sana huko.
Tukio la kwanza waliokota jeneza lwnyw ndizi ndani yake.
Jamii ya kimwri ni waogo mno juu ya mambo ya kishirikina...nasikia watu wanshindwa kulala.
 
Wameru silaa yao ni mawe mi lisoma makumira sec kuna kamto tulikuwa tunaenda kuoga gafla unashangaa mawe hujui hata yametokea wapi,walikuwa hawataki tuoge kwenye ule mto
Ni kweli..Wameru ukiwaudhi utasikia " Kaba jabali" maana yake piga jiqe huyo.

Lakini hili ni jambo la ajabu kidogo.
Mawe yanatokea angani ghafla hofu imetawala.
 
Waafrica sisi niwajinga sana, Uchawi ni Technology iliyo mbele ya wakati tukiitumia vizuri itatunufaisha.

Mfano hii technology ya mawe kurushwa na watu wasiojulikana, juju, kutupiwa majini tunaweza kuwauzia Ukraine wapambane na urusi.

Wakati Urusi wanaangaika kuingilia mawasiliano ya Ukraine, wao Ukraine wanatumia tu Ramli wanaona mipango yote ya Urusi alafu wanatuma juju wanajeshi wote wanakuwa vichaa , Au wanatumiwa mawe yasiyoonekana😂😂😂😂
Shida ni viungo vyake sasa vya kuukamilsha uchawi ndio havikubaliki. Kwa mfano ili ungo wa kichawi upae yanahitajika mafuta ya binaadamu mtoto mchanga. Gear lever ni uchi wa kiume, honi matiti ya binadamu etc etc. Vipi mpaka hapo tuendelee na tekinolojia ya kichawi?
 
Shida ni viungo vyake sasa vya kuukamilsha uchawi ndio havikubaliki. Kwa mfano ili ungo wa kichawi upae yanahitajika mafuta ya binaadamu mtoto mchanga. Gear lever ni uchi wa kiume, honi matiti ya binadamu etc etc. Vipi mpaka hapo tuendelee na tekinolojia ya kichawi?
Hahahaha
 
Mkuu mawe kutokea kusikojulikana hayo sio maendeleo?😂😂😂

Hao unawaita wapumbavu wanaweza kurusha mawe kutoka kusikojulikana na hii wanaweza kuitumia kama siraha ya kujilinda tena kwa gharama nafuu, wewe unaweza kufanya nini?
Maendeleo n tuone barabara, madawati shuleni, upatikanaji wa maji bila kujua yamekuja vp. Yani unaamka unakuta ile njia jana usiku iliyokuwa haipitiki bc asubuhi unakuta ni lami mwanzo mwisho.
 
Waafrica sisi niwajinga sana, Uchawi ni Technology iliyo mbele ya wakati tukiitumia vizuri itatunufaisha.

Mfano hii technology ya mawe kurushwa na watu wasiojulikana, juju, kutupiwa majini tunaweza kuwauzia Ukraine wapambane na urusi.

Wakati Urusi wanaangaika kuingilia mawasiliano ya Ukraine, wao Ukraine wanatumia tu Ramli wanaona mipango yote ya Urusi alafu wanatuma juju wanajeshi wote wanakuwa vichaa , Au wanatumiwa mawe yasiyoonekana😂😂😂😂
Sawa, mbona hatujawahi kuona maendeleo ya nchi yamepatikana kupitia uchawi, mfano hata TZ tufike kombe la dunia kupitia uchawi.? Huu uchawi utausikia kwenye mambo ya kijinga jinga tuu.
 
Inasemekana Wameru miaka ya ukoloni walisha waua wa Missionary na hiyo laana inatembea hadi leo ndio maana Wameru ni wabishi sana
 
bunduki tupu au bunduki na risasi? jiwe ili likupate vizuri linahitaji uwe karibu... acha kufananisha manati ya mzungu na wameru wako, wataondoka kama wenzao wa songea na maji yao.
Wakati wa Lyatonga Mrema Kesi za dayosisi waulize ilikuaje ilibidi aende kuwaomba baada ya kutumia silaha kukwama
 
Back
Top Bottom