Kiplayer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 1,001
- 1,571
That's footballsawa kaka
That's footballsawa kaka
Ha ha ha hamkuu njoo utngue kauli
HongeraniWapigwe tu tufanyeje sasa
umekaa wewe sasachelsea leo anakaa..
Haya tupe mtejesho sasa nin kimeikmba forward line ya lacazete na mwenzake aubemeyangChelsea anabamizwa asubuhi tu kwa sababu wana mchezo ambao Arsenal wanaweza kuuhimili. Nataraji magoli kadhaa ya arsenal ktk mtindo wa counter attack, hii itatokana na Chelsea kupenda umiliki wa mpira lakini madhara hafifu kwa mpinzani. Kingine kitakachoipa ushindi Arsenal ni FOWARD LINE ya Aubameyang na Lacazette aisee! Hawa jamaa ni LETHAL
Kweli wewe ni mchambuzi mzuri sana, bado unaamini ulichokuwa unakiamini..?Chelsea anabamizwa asubuhi tu kwa sababu wana mchezo ambao Arsenal wanaweza kuuhimili. Nataraji magoli kadhaa ya arsenal ktk mtindo wa counter attack, hii itatokana na Chelsea kupenda umiliki wa mpira lakini madhara hafifu kwa mpinzani. Kingine kitakachoipa ushindi Arsenal ni FOWARD LINE ya Aubameyang na Lacazette aisee! Hawa jamaa ni LETHAL
Yes..!Mda ni hakimu mzuri.....
Bado unabisha tuu?Ah wapi sio leo
Kweli nikajua unaweza ndumba kumbe holaaa.Mpaka first half inaisha arsenal 0- Chelsea 2.
Second half dakika ya 51 Arsenal inapata bao.
Dakika ya 74 Arsenal naandika bao la pili.
Dakika ya 86 Arsenal inasokomeka bao la tatu.
Full time Arsenal 3 Chelsea 2
Kweli nyota ya Asernal au ulibeti nini?Leo ni nyota ya Arsenal
Bangi si tumbaku..chelsea leo anakaa..
sema kajitahidi maana total goal scored ni 5 kama za alivyotabirKweli nikajua unaweza ndumba kumbe holaaa.
Kweli mko sawa..!Hapa kidogo tupo sawa
Wamepigwa jujuHaya tupe mtejesho sasa nin kimeikmba forward line ya lacazete na mwenzake aubemeyang
Bado una konfidensi yako..?Wewe hapigwi mtu hapa
Niliamini! Ila ukweli umejidhihirishaKweli wewe ni mchambuzi mzuri sana, bado unaamini ulichokuwa unakiamini..?
Hahahahnimehacha kuishabikia arsenal kuanzia leo naamia man city ,kma watu wanabadilisha dini ije kuwa club ya mpira, litimu kila cku lenyewe ni kusindikiza wenzake tu
Ni sawa na kujifunza unafiki. Kuhama mazima ni vigumu.Hahahah
Acha hasira rafiki yangu timu ni sawa na kabila huwezi hama.