Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
nadhani sasa ataanza na pesa ya maana kumchukuwa cahil ..... i
Kwa kichapo hiki hata kama wenger anajifanya bahiri, lazima tu atanunua.
Ila awe makini asije akakurupuka akanunua magalasa kwa bei kubwa kama chamack anayeozea benchi.