visingizio mwikoHaya wakuu tutakutana na Manure Emirates kwenye replay .... ... .... ... tunafahamu tumekuwa short kwa kuwa na wachezaji ambao hawajacheza pamoja kwa muda mrefu.
Weye mchokozi... Jamani Wacha iko wapi? Kaenda kujificha kwa mungiki?
rooney anawavua wanaume wa rosegarden shanga livee!!!!du mpira auna adabu kabisa kabisa
Hivi Hii si rekodi jamani!!!
Jinsi Wenger alivyopanga timu leo amefeli hii
Nina hakika kama ingekuwa ni timu ya daraja la chini leo wangeweza hata kufanya maajabu kwa kuifunga Man U.
Hawa wachezaji wana soke answers to give.
Heri yetu Dom hatuna umemeRelegation is looming...............
Kwa historia ya Arsenal hii ni loss ya pili tangia mwaka 1896 dhidi ya timu ya Laughborough.
Mimi nachukulia kuwa hii inatoa fundisho kwa Arsene Wenger na Bodi nzima ya wanamiliki wa timu hio.
Pia CEO Ivan Gazidis nae ana majibu ya kutoa.
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mkuu mechi 38 za EPL hii ni mechi yetu ya tatu khekhe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Sikimbii kama wewe - Manure 12 against 10.