Peasant
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 3,949
- 687
Vipi mnaomboleza msiba, maana nimesoma sehemu kuwa Osama alikuwa mshabiki wa arsenal.
Poleni kwa kumpoteza kamanda wenu
Kesho wanavaa vitambaa vyeusi kuomboleza msiba wa shabiki namba moja wa the gunners, sheikh Osama bin Laden.