BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,028
yaani mi ndo ningekuwa kocha wa hii timu haki ya mungu ningekuwa wapiga watu mitama changing room maana wanaudhi sana wachezaji hawa
Wamecheza vizuri sana Jumapili iliyopita na kuweza kuwasimamisha MANU. Unategemea kwa kujua umuhimu mkubwa wa mechi ya leo basi watajituma sana katika mechi ya leo...wanaishia kufanya madudu!