Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
-
Remija Mtema
Wapendwa salamu!
Familia ya Dr Estelatus Mtema inapenda kuwakaribisha ndugu jamaa na marafiki zetu wote kwenye kumaliza msiba (arobaini) ya mpendwa wetu Mh Regia Estelatus Mtema itakayofanyika nyumbani kwao Ifakara siku ya tarehe 3/3/2012.
Karibuni sana!
My take:wadau tuhudhurie kumuombea dua kamanda Rejia (R.I.P).