Armed robbers raid Mwadui diamond

I wish walioiba wawe ni waTz waliochoka kuibiwa na hao makaburu. atleast wataenda kujiliwaza wao na familia zao za KITANZANIA.Kuna wakati ule mgodi wa buhemba kuliibiwa gold 90kgs, wezi walijulikana na hata polisi waliwajua lakini hadi leo hawajakamatwa. why. because watu wamechoka kunyanyaswa na wageni wanaofaidi raslimali zetu huku wao wanaishi maisha magumu. so its better waibiwe as long as watakaofaidi ni wanyonge na pesa zitabaki nchini. Thats what I think.

..mimi sitasema!
 
Mtu aliyewahi kuishi Mwadui anasema, "Haiwezekani hata kidogo kwa mtu wa nje kuingia Mwadui... kwanza kuna mageti kibao, pili kuna camera kila kona, tatu ulinzi ni mkali 24x7.

Watu walikua wakiiba almasi kwa kutumia mishale na kombeo kurusha nje ambako jamaa zao husubiria, lakini si kuvuka viunzi na mageti
 
Kitila/Mwanakijiji
Kwa sasa the best way ni chama tawala kipasuke, au kiwe na mgawanyo mzuri na wengine wabaki CCM wengine wakajiunge na moja kati ya vyama makini vya upinzani. Kuanzia hapo ndio na sisi wengine tunaweza kuwa na imani na Party politics, sasa hivi vyama vingine badi havina nguvu kubwa ya kuweza kuleta mabadiliko, na ukiangalia resources ilizo nazo CCM kwa sasa(polisi, jeshi, usalama, bunge na watu wengi wasio na elimu ambao ni rahisi kuwazuga) si rahisi kuwa na true change itakayoleta manufaa makubwa. Sasa hivi Slaa na timu yake wameonesha mwanzo mzuri lakini sasa hivi inaonekana mbinu zimeanza za kuwamaliza.
 
I wish walioiba wawe ni waTz waliochoka kuibiwa na hao makaburu. atleast wataenda kujiliwaza wao na familia zao za KITANZANIA.Kuna wakati ule mgodi wa buhemba kuliibiwa gold 90kgs, wezi walijulikana na hata polisi waliwajua lakini hadi leo hawajakamatwa. why. because watu wamechoka kunyanyaswa na wageni wanaofaidi raslimali zetu huku wao wanaishi maisha magumu. so its better waibiwe as long as watakaofaidi ni wanyonge na pesa zitabaki nchini. Thats what I think.

Thank you so much my dear. I have the same opinion just like you.
 
Ndio sasa tunasema, ok, inawezekana hao wana matatizo kweli je, sisi tutashirikije kuhakikisha kwamba tunakuwa na bunge zuri? Je, inawezekana kuna wenzetu watanzania tunaowajua na tunafikiri wana uwezo na tunaweza kuwashawishi na kuwawezesha wagombee? Hii sasa ndio issue. In other words, what we are saying is that,yes, we may not be part of the problem, but can we be part of the solution?

Next time you will see more independent candidates, who would fight for the country rather than bickering on political parties. I can't tell you what I'll do but stay tuned.
 
Back
Top Bottom