DAR si LAMU
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 2,928
- 544
I wish walioiba wawe ni waTz waliochoka kuibiwa na hao makaburu. atleast wataenda kujiliwaza wao na familia zao za KITANZANIA.Kuna wakati ule mgodi wa buhemba kuliibiwa gold 90kgs, wezi walijulikana na hata polisi waliwajua lakini hadi leo hawajakamatwa. why. because watu wamechoka kunyanyaswa na wageni wanaofaidi raslimali zetu huku wao wanaishi maisha magumu. so its better waibiwe as long as watakaofaidi ni wanyonge na pesa zitabaki nchini. Thats what I think.
..mimi sitasema!