wale watuhumiwa wanoaminikika kushiriki kwenye kashfa mbalimbali leo mida ya saa tatu asubuhi wanafikishwa kizimbani pale mahakama ya kisutu , wananchi wamefurika kwa wingi kujionea kwa macho ni bureeeeee ila mwisho ni saa tatuu
hata jinsi ya kutunga habari ya uongo ionekane na uweli ndani yake bado una tatizo " yona , mramba , lowassa, rostarm na wengine wengi kizimbani leo " mhhh
Anyway asante kutukumbusha sikukuu ya mafisadi kuwa ni leo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.