the horticulturist
JF-Expert Member
- Aug 24, 2012
- 1,959
- 1,894
Natumia hii cmu na kwa sasa cna hela ya kununua cmu nyingine,naomba msaada juu ya application ambazo zinakubali kwenye hii phone,opera teyari ninayo natumia ku browse pia nawezaje weka whatsapp maana direct downloadng naona iko inauzwa!ahsanten wadau