Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,290
- 10,705
Wote hapo wana makosa aliye vaa sare na mwanajeshi aliye chukua sheria mkononi nyie mnatetea upande mmoja tu nadhani mnachaganya mnafikiri watu wanashabikia uvaaji wa sare ya jeshi tunataka kujua ni sheria gani inayo mpa mwanajeshi mamlaka hayo wote hao ni wakakosefu hata kama we ni mwanajeshi
Kumbe umejua kuwa wote wamekosea,ndo hivyo ukijifanya unajua kuvunja sheria ujue wapo wanaojua kuvunja zaidi yako.Kwa hiyo.hapo ni ngoma drooo.Aliyeuza cheni katoa cheni bandia na aliyenunua cheni katoa hela bandia.