Apigishwa mbizi kwenye dimbwi la maji ya barabarani kwa kukutwa katinga sare za jeshi

Mwanajeshi anapata wapi mamlaka ya kutoa adhabu kwa raia. Hii ni kinyume cha sheria na kujichukulia sheria mkononi

we nani kakwambia Jeshini kuna sheria na yeye huyo Raia anapata wapi kuvaa sare amabayo ilishatangazwa na kujulikana kama ni ya jeshi
 
Mbona mashuleni tulikuwa tunafanya kama hivyo kwa amri ya waalim au viranja na hamsemi itakuwa huyo mtu mzima?
Au nyie wengine ndio mliosma zile shule za walaini.
Ulizeni walipita Mazengo enzi hizo,Tabora Boys au Tosamanganga shule za kigum
Anastahili kufanyishwa mazoezi ya lazima huyo
Kumbe JF kuna majambazi na matpeli,duhh

Hiyo adhabu ni exactly the same kuna jamaa aliadhibiwa seminarini na mkuu wa seminary,St.Joseph Kilocha Njombe.Aliambiwa achague kupiga mbizi nusu saa au afukuzwe shule.Akachagua kupiga mbizi na maisha yakasonga mbele.Kilikuwa kituko na wengine wakasema wangekuwa wao wasingefanya,lkn walikuwa wanasema kwa vile majanga hayakuwakuta wao,yangewakuta wangepiga tu mbizi.
 
we nani kakwambia Jeshini kuna sheria na yeye huyo Raia anapata wapi kuvaa sare amabayo ilishatangazwa na kujulikana kama ni ya jeshi

Hata kama jeshini hakuna sheria kwa mujibu wa kichwa chako kibovu kwani huyo raia alikutwa jeshini?

Kwa hiyo jeshini ruksa kubaka eh? Au mjeda akija kukulawiti nyumbani kwako ruksa eh? Si unasema hakuna sheria humo?

Watu wana vichwa vya panzi humu.
 
Hata kama jeshini hakuna sheria kwa mujibu wa kichwa chako kibovu kwani huyo raia alikutwa jeshini?

Kwa hiyo jeshini ruksa kubaka eh? Si unasema hakuna sheria humo?


mkuu unafaa sana kuwa mtetezi wa haki za binadamu.nakupa like kama buku hivi,nakuomba tu mkuu tafuta na wewe sare za jeshi(kama huna),vaa katiza mitaa na uingie kwenye kumi na saba...nadhani utaweza sana kutetea unchotetea.usikalie tu kubwabwaja humu jf.vaa kombati ingia kitaa.usisahu ipad yako au simu yako kwa ajili ya kuturushia updates ukiwa ndani ya 18 za wazee wa sumu.nadhani utakuwa mtetezi mzuri sana baada ya hapo.

kila la kheri mkuu,nasubiri updates
 
mkuu unafaa sana kuwa mtetezi wa haki za binadamu.nakupa like kama buku hivi,nakuomba tu mkuu tafuta na wewe sare za jeshi(kama huna),vaa katiza mitaa na uingie kwenye kumi na saba...nadhani utaweza sana kutetea unchotetea.usikalie tu kubwabwaja humu jf.vaa kombati ingia kitaa.usisahu ipad yako au simu yako kwa ajili ya kuturushia updates ukiwa ndani ya 18 za wazee wa sumu.nadhani utakuwa mtetezi mzuri sana baada ya hapo.

kila la kheri mkuu,nasubiri updates

Kwa hiyo unanishauri nivae sare za jeshi kinyume na sheria? Unanishauri nivunje sheria?

Kichwa kingine cha panzi.
 
Kama ndo hivyo basi mkome kabisa katika nchi hii kuwabughudhi wale wote wanaopindisha sheria.

Otherwise, sheria hazijawekwa ili zipindishwe ili sheria nyingine iweze kufuatwa.

Kama ingekuwa hivyo basi hata huyo aliyepigwa mbizi angekuwa na haki ya kupindisha hilo katazo ili afuate haki yake ya kuvaa.



Hiyo ni torture na sheria hairuhusu kitu kama hicho japokuwa Tanzania ni baadhi ya nchi chache sana duniani zilizokataa kutia saini the Convention against Torture etc.

Ndo maana kwenye nchi hii watu wanakuwa tortured and treated inhumanly. Juzi tuu hapa watu wamelalamika kuwa waliingizwa mijiti kwenye sehemu zao za siri wakiwa selo. Unaunga mkono hayo matendo?



Kwa hiyo badala ya kutafuta solution to address the root cause ya tatizo unapindisha sheria mwanaharamu apite?



Sheria ndo inayotoa adhabu za hapo kwa hapo na siyo mtu kujiamulia tuu.

Nipe sheria inayompa mwanajeshi mamlaka ya kumpa raia adhabu ya kupiga mbizi kwenye maji machafu kwa kosa la kuvaa nguo zinazofanana na sare za jeshi.

Mnachojaribu kufanya hapa kuadvocate watu wachukue sheria mkononi. Lakini hamjui madhara yake kwa sababu hayajawahi kukukuta.

Halafu huyo mjeda kampiga mbizi jamaa na kumwachia vipi kama alikuwa shushu wa nje, si ataingia kitaa na kuendelea na ushushu wake?

Ni lini Tz sheria zinafuatwa!!? Ila kwa huyu mwanajeshi ndo imekuwa nongwa, tatizo lenu mpo biased kweli, ingetokea kama mdau mmoja alivyoleta picha ya Nchemba ndo kapigizwa mbizi wengi wenu mngefanya sherehe ili tu kwa sababu imetokea kwa huyu mnapiga makelele, hivi unafikiri wakati huyu jamaa anafanyiwa yote haya si watu walikuwepo!!? Hawa watu walikuwepo kwa nini hawakutoa ripoti polisi ili huyo mtoa adhabu mwanajeshi achukuliwe sheria unayoiongelea!! Nyie ndo mnafuga maovu eti kisa sheria, huyu mwenzio katia adabu harudii tena
 
tena watu wa ajabu kabisa ...tatizo lao kuburuzwa kwao kule kuna wafanya na wao waje onea uraiani ngoja hyo komando wao aonje cha moto, alafu hawakomi kabisa tabia zao za kijingaa...ni bora wangetoaaa taarifa kwenye vyombo vya habari kuwa ni marufuku kuvaaa nguo zilizo fanana na zao tujue moja

watoe taarifa mara ngapi?
ishakatazwa sana. tatizo watu wanajifanya kiburi. Habari inaingia sikio la kushoto inatokea sikio la kulia.
 
mkuu unafaa sana kuwa mtetezi wa haki za binadamu.nakupa like kama buku hivi,nakuomba tu mkuu tafuta na wewe sare za jeshi(kama huna),vaa katiza mitaa na uingie kwenye kumi na saba...nadhani utaweza sana kutetea unchotetea.usikalie tu kubwabwaja humu jf.vaa kombati ingia kitaa.usisahu ipad yako au simu yako kwa ajili ya kuturushia updates ukiwa ndani ya 18 za wazee wa sumu.nadhani utakuwa mtetezi mzuri sana baada ya hapo.

kila la kheri mkuu,nasubiri updates

Usione anaongea hapa,ni kawaida katika jamii kuwepo watu wa kuwapump wenzao wavae sare halafu wao hata chupi tu yenye rangi ya nguo za jeshi wanaogopa kuvaa.Wapo sana hawa watu.Nakumbuka sana maisha ya seminarini mashabiki kama huyu jamaa walikwepo lakini utendaji sifuri.Tunamsubiri yeye akaapply hiyo sheria tuone.
 
Hujanielewa tu,huyo mvaaji wa nguo unaona kafanya sawa ila mwanajeshi ndo kakosea? Dawa ya moto ni moto

Wote hapo wana makosa aliye vaa sare na mwanajeshi aliye chukua sheria mkononi nyie mnatetea upande mmoja tu nadhani mnachaganya mnafikiri watu wanashabikia uvaaji wa sare ya jeshi tunataka kujua ni sheria gani inayo mpa mwanajeshi mamlaka hayo wote hao ni wakakosefu hata kama we ni mwanajeshi
 
Kwa hiyo unanishauri nivae sare za jeshi kinyume na sheria? Unanishauri nivunje sheria?

Kichwa kingine cha panzi.

ndiyo mimi kichwa cha panzi,we kavae uone huo utetezi wako utakusaidiaje kama siyo kubwabwaja tu humu jf.na uombee ukutane na kamanda aliyemeza rozali kama huyo,yaani anamuogesha tu kama vile anamuandaa kwa ajili ya kichen party?kweli huyo kamanda kaishiwa sumu.huyo kijeba unayemtetea alipaswa kula 'kazi' ya kutosha siyo kuoga.bwe8ge wewe
 
Mbona mashuleni tulikuwa tunafanya kama hivyo kwa amri ya waalim au viranja na hamsemi itakuwa huyo mtu mzima?
Au nyie wengine ndio mliosma zile shule za walaini.
Ulizeni walipita Mazengo enzi hizo,Tabora Boys au Tosamanganga shule za kigum
Anastahili kufanyishwa mazoezi ya lazima huyo
Kumbe JF kuna majambazi na matpeli,duhh

Maisha ya shuleni unalinganisha na ya uraiani.

Aliyesema Watanzania wana IQ ndogo alikosea.

Wengine hawana IQ kabisa.
 
Usione anaongea hapa,ni kawaida katika jamii kuwepo watu wa kuwapump wenzao wavae sare halafu wao hata chupi tu yenye rangi ya nguo za jeshi wanaogopa kuvaa.Wapo sana hawa watu.Nakumbuka sana maisha ya seminarini mashabiki kama huyu jamaa walikwepo lakini utendaji sifuri.Tunamsubiri yeye akaapply hiyo sheria tuone.

mi nishamwambia,akavae halafu ajitete tuone
 
mkuu unafaa sana kuwa mtetezi wa haki za binadamu.nakupa like kama buku hivi,nakuomba tu mkuu tafuta na wewe sare za jeshi(kama huna),vaa katiza mitaa na uingie kwenye kumi na saba...nadhani utaweza sana kutetea unchotetea.usikalie tu kubwabwaja humu jf.vaa kombati ingia kitaa.usisahu ipad yako au simu yako kwa ajili ya kuturushia updates ukiwa ndani ya 18 za wazee wa sumu.nadhani utakuwa mtetezi mzuri sana baada ya hapo.

kila la kheri mkuu,nasubiri updates

Ila kweli itabidi afanye hivyo
 
Hapa amejichukulia sheria mikononi. Haina tofauti na raia kumwadhibu mwizi mbele ya Polisi
 
Back
Top Bottom