Mtanzania,
Soma tena ile ripoti aliyoileta Mafuchila. Maregesi hajasema kuwa amekula sumu. Aliyesema hayo ni daktari. Au daktari huyo naye yumo kwenye conspiracy za akina Balali na Maregesi?
....Hivi anayetakiwa ku-qualify kuwa kilichoonekana ni sumu ni nani.....?.....nafikiri initial investigation za daktari zaweza ku-indicate kuwa kile walichokutana nacho ni sumu......au?
....swali lako la kumjua daktari ni muhimu sana.....