Nyetk
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,648
- 1,696
E kwa nchi ya ufisadi kama hii lolote lawezekana!
Angalau ana uwezo wa kufanya maamuzi, hata kama ni mabovu DAIMA kuliko huyu aliyeumbwa bila facult hiyo ndani ya brain yake! Poor prezidaa!
E kwa nchi ya ufisadi kama hii lolote lawezekana!
mara gwaaa..mtu kawa nominated ..mara gwaaa ... watu wameiba kura ..mara gwaaa..watu wameingia magogoni ..mara ving'ora mama ni rais..mimi najinyonga au nahamia kenya kama maghufuli alivyoshauri
I like.
Kama waliweza uspika hakuna linaloshindikana! Jiandae kulizoe lile wigi!Nimesikia habari mtaani kuwa lile kundi lililomuweka huyu mama katika kiti cha uspika lina mpango wa kumpa sapoti ya urais 2015, endapo mtu wao wanaemtegemea hatafanikiwa kupata nafasi ya kugombea ndani ya chama.
Hizi ni habari zinazoongelewa mtaani sina source ya uhakika!!!