Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,850
- 12,086
Leo tarehe 17 Julai, 2023 Mafunzo ya matumizi ya matokeo ya Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 yamefunguliwa Mkoani Manyara na Anna Makinda, Kamisaa na Muhamasishaji wa Sensa Tanzania, na Kuhudhuruwa na Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Cuthbert Sendiga, Sekretarieti ya Mkoa, Kamati ya Sensa Mkoa, Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa pamoja Wadau mbalimbali.
Lengo la mafunzo hayo ni kufahamu matumizi sahihi ya Takwimu za Sensa Mwaka 2022, ili ziweze kutumika katika kuleta Maendeleo endelevu katika Sekta na Nyanja mbalimbali Nchini.