NICK2275
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 3,931
- 918
Katika basi moja,mama mmoja alitaka kumyonyesha mtoto,mtoto akagoma,mama akamwambia nyonya,kama utaki nampa anko anyonye!" anko ni kaka mmoja abiria aliyekaa na huyo mama.Mtoto akanyonya kidogo akaacha,Mama akatishia tena kumpa anko,ndipo yule kaka kwa hamaki akasema,"mama uwe na msimamo,nimepitiliza vituo vinne kwa ajili hio!