Angekuwa yule mnadhani angefanya kama anayoyafanya huyu?

Mkuu hili ni swali la kifalsafa sana inatakiwa utulie kwanza kabla ya kujibu.Mimi napita tu!
 
Raisi anatusaidia sisi ni mtetezi wetu ila wachache amjui maskini. Akifanya vizuri mnamponda akifanya zaidi ya vizuri mnamkejeli je nyinyi mnastahili adhabu gani ?
 
Kafanya zaidi ya kuwaita wakae meza moja wayamalize. Wenye dhahabu yao waanze kusafirisha kama kawaida, tuendelee kubaki na %4 zutu.. Hiyo dhahabu inayochimbwa iko kwetu. Ila sio yetu
 
Hakika rais Magufuli anastahili pongezi kubwa sana kwa sababu ya walau kuanzisha mjadala wa kitaifa kuhusu hizi rasilimali za nchi.

Historia itamhukumu vizuri sana, naamini.

Hakuna kiongozi yoyote kutoka upinzani ambaye angeweza kuyafanya anayofanya Jpm, hilo hata wao wanalijua na ndiomana wapo kimya mpaka sasa.kwanza hawakuamini kama jpm angeweza, ndiomana akina tundu lissu walikuwa wakipiga kelele na kutaka kuuaminisha umma kuwa anachofanya jpm ni makosa, leo toka report imetoka ameufyata:D
 
Nauliza tu.

Na nauliza kwa nia njema kabisa.

Hivi rais angekuwa Lowassa, kupitia chama chochote kile, iwe CCM au CHADEMA, mnadhani angekuwa hata na uthubutu wa kuyafanya kama haya anayoyafanya rais Magufuli, kwa mintarafu ya hizi taarifa za tume ya kuchunguza mchanga wa madini?
Nadhani asingefanya, ila naamini Dr. Slaa angeweza kufanya haya, na zaidi. Maadamu JPM yupo CCM, lazima kutakuwa na kulindana kwa namna moja au ingine, hivyo kwa kiasi fulani hataweza kuyafanya yale ambayo angeweza kuyafanya kama angekuwa nje ya CCM.
 
Rais Magufuli ni kiongozi ambae watanzania si kana kwamba tu watamkumbuka akimaliza muda wake bali pia watatamani awaongoze zaidi ya kipindi ya mihula miwili.

Mark my words.
 
Mkuu Nyani, unamaanisha kuficha boti feki kuleee ili wizi uliohusika usiongelewe ndiyo uzalendo wa huyu? Au ni kufunika issue zilizokuwa moto kama ESQROW na LUGUMI? Binafsi nitamsapoti tena kwa hili tu, kama atawasogeza mbele ya pilato wahusika wote wa wizi huu, na waadhibiwe. Na nikisema wote namaanisha wote kutoka juu hadi chini. Zile kinga zote azitumbue sheria ilale nao mbele. Tofauti na hivyo ni mbwembwe tu.
 
Wakati wa kutangaza nia akigombea urais kupitia CCM aliambatana na akina Kalamagi, na akawatambusha mbele y kadamnasi kuwa ni watu wanaotakiwa kuigwa katkika nchi hii. Eti wanachukia umasikini kama anavyouchukia yeye. Kwa hiyo haya yanayofanyika ni kinyume kabisa na mahitaji ya Lowasa.
 
Mkuu Nyani, unamaanisha kuficha boti feki kuleee ili wizi uliohusika usiongelewe ndiyo uzalendo wa huyu? Au ni kufunika issue zilizokuwa moto kama ESQROW na LUGUMI? Binafsi nitamsapoti tena kwa hili tu, kama atawasogeza mbele ya pilato wahusika wote wa wizi huu, na waadhibiwe. Na nikisema wote namaanisha wote kutoka juu hadi chini. Zile kinga zote azitumbue sheria ilale nao mbele. Tofauti na hivyo ni mbwembwe tu.
Hatathubutu!! Alishasema wastaafu wapumzike kwa amani. Tatizo la kuwa CCM
 
Lowassa kabla hata ya uchaguzi alishaanza kugawa vitalu vya gesi na vingine alipanga kuweka kama dhamana,yaani yule mwizi ni miaka mitano tu nchi yote ingekwisha
 
Nauliza tu.

Na nauliza kwa nia njema kabisa.

Hivi rais angekuwa Lowassa, kupitia chama chochote kile, iwe CCM au CHADEMA, mnadhani angekuwa hata na uthubutu wa kuyafanya kama haya anayoyafanya rais Magufuli, kwa mintarafu ya hizi taarifa za tume ya kuchunguza mchanga wa madini?

Nani humu anayeamini kwa moyo wote kabisa kwamba Lowassa angeweza kuyafunua mambo ambayo kwa kweli yanaiweka CCM pabaya?

Nani humu anayedhani kuwa huyo poster boy wa ufisadi Tanzania angekuwa na uhalali wa mamlaka ya kimaadili kufanya kama anavyofanya sasa rais Magufuli?

Najua wengi wenu humu mnampinga Magufuli.

Pamoja na mapungufu yake, mimi naamini historia itakuja kumhukumu katika mwanga ulio chanya kwa kuwa rais mzalendo na mwenye uchungu na Tanzania.

Kama Kikwete watu mshaanza kumkumbuka basi sina kabisa shaka lolote lile kuwa hata Magufuli naye atakumbukwa vizuri tu.

Haya sasa kazi kwenu nyie wafia vyama na ukabila. Rusheni kejeli na tuhuma zenu kuwa mimi ni CCM na mkabila.
Thubutu hana jeuri hiyo sasa angeulizwa ah hata wewe,ukiangalia hao waliotajwa na hao ACCACIA wana uhusiano wa karibu na maswahiba wa Lowassa akina Rostam,Chenge,Karamagi,Ngereja,Mwapachu,Mwanyika na wote hao ni vibopa.
Nimesikitishwa na uzalendo wa watu wangu wawili ambao nawajua na nimesoma nao uzalendo wa Deo Mwanyika na Julius Malaba hawa ni watoto wa masikini ingawa kwa wakati ule baba yake Deo angalau kwani alikuwa mwalimu wa Chuo cha Ualimu Songea,lakini kwa Julius Malaba nakumbuka akisoma A level alikuwa akishindia kaptula,ingawa ni mtu bright sana,nakumbuka hata tulipomchangia alipokfariki baba yake wakati akifanya mitihani alikuwa ni kijana mpole sana lakini mwenye uwezo mkubwa darasani na vivyo hivyo kwa Deo ni mtu mwenye akili sana,lakini toka alipotoka Tume ya Kurekebisha Mashirika ya Umma na kwenda kwa hao wazungu sijui kimempata nini,nadhani Malaba kwa kuutumia usukuma wake na mzee wa vijisenti ndio akautupa mkono utaifa.
 
Nauliza tu.

Na nauliza kwa nia njema kabisa.

Hivi rais angekuwa Lowassa, kupitia chama chochote kile, iwe CCM au CHADEMA, mnadhani angekuwa hata na uthubutu wa kuyafanya kama haya anayoyafanya rais Magufuli, kwa mintarafu ya hizi taarifa za tume ya kuchunguza mchanga wa madini?

Nani humu anayeamini kwa moyo wote kabisa kwamba Lowassa angeweza kuyafunua mambo ambayo kwa kweli yanaiweka CCM pabaya?

Nani humu anayedhani kuwa huyo poster boy wa ufisadi Tanzania angekuwa na uhalali wa mamlaka ya kimaadili kufanya kama anavyofanya sasa rais Magufuli?

Najua wengi wenu humu mnampinga Magufuli.

Pamoja na mapungufu yake, mimi naamini historia itakuja kumhukumu katika mwanga ulio chanya kwa kuwa rais mzalendo na mwenye uchungu na Tanzania.

Kama Kikwete watu mshaanza kumkumbuka basi sina kabisa shaka lolote lile kuwa hata Magufuli naye atakumbukwa vizuri tu.

Haya sasa kazi kwenu nyie wafia vyama na ukabila. Rusheni kejeli na tuhuma zenu kuwa mimi ni CCM na mkabila.
Mkuu hadi sasa
Wameshashindwa vibaya na wangekuwa wanajua jamaa hao acacia wamelegea wangetulia

Nchi hii Tuna watanzania na watetezi wa acacia

Yaani hawaamini kinachotokea na tukilipwa watakuja na agenda nyingine
 
Nauliza tu.

Kama Kikwete watu mshaanza kumkumbuka basi sina kabisa shaka lolote lile kuwa hata Magufuli naye atakumbukwa vizuri tu.
Jana kuna wenzetu wakiwa mjengoni wameimba "wana imani na Kikwete". Lakini ni Kikwete huyo huyo waliyemsubiri aingie mjengoni halafu wao wakatoka nje, kwa maelezo kwamba wanampelekea ujumbe wasivyo na imani naye, na kwamba yeye ni dhaifu asiyefanya maamuzi yaliyoitwa magumu. Kiukweli sioni tofauti kati ya wabunge wa chama tawala na wapinzani wao. Full unafiki.
 
Uchama anao Lissu na nyie
Uchama upi??? Kwani uongo ccm haihusiki kwenye haya maufisadi ya madini?? Kwani yona alietajwa jana na kafumu wapo chama gani??? Embu kuweni serious watanzania na sioni mtu hapa anawazungumzia zaidi kuanzia mwenyekiti wenu mpaka nyie mnaotumika mmeishia kumtukana lisu kana kwamba ndio chenge!!! Hili linchi hili linashida sana afu rais mzima anauliza nani aliyeturoga afu ndugai anacheka wakati ndio lenyewe lilikuwa naibu spika kipindi muswada wa gesi na mafuta unaletwa ambao nao mwenyekiti wa maccm kasema una mushkeli!!! Afu badala ya kumsema huyo ndugai na makinda eti ashughulikiwe lisu

Hotuba ya jana nlimuona magufuli amekomaa kisiasa ila mwishoni aliharibu kila kitu...... such an empty set kma watetezi wake humu. Na kwa ubaguzi huu ndio mnazidi kuigawa nchi afu baadae mnakuja kudai wananchi si wazalendo shame on u ccm na mwenyekiti wetu huyo
 
Nauliza tu.

Na nauliza kwa nia njema kabisa.

Hivi rais angekuwa Lowassa, kupitia chama chochote kile, iwe CCM au CHADEMA, mnadhani angekuwa hata na uthubutu wa kuyafanya kama haya anayoyafanya rais Magufuli, kwa mintarafu ya hizi taarifa za tume ya kuchunguza mchanga wa madini?

Nani humu anayeamini kwa moyo wote kabisa kwamba Lowassa angeweza kuyafunua mambo ambayo kwa kweli yanaiweka CCM pabaya?

Nani humu anayedhani kuwa huyo poster boy wa ufisadi Tanzania angekuwa na uhalali wa mamlaka ya kimaadili kufanya kama anavyofanya sasa rais Magufuli?

Najua wengi wenu humu mnampinga Magufuli.

Pamoja na mapungufu yake, mimi naamini historia itakuja kumhukumu katika mwanga ulio chanya kwa kuwa rais mzalendo na mwenye uchungu na Tanzania.

Kama Kikwete watu mshaanza kumkumbuka basi sina kabisa shaka lolote lile kuwa hata Magufuli naye atakumbukwa vizuri tu.

Haya sasa kazi kwenu nyie wafia vyama na ukabila. Rusheni kejeli na tuhuma zenu kuwa mimi ni CCM na mkabila.
What a pity! Umetumwa?
 
Kweli, maarifa hayajiaminishi.
Anayejiaminisha ni mtu. Na maarifa si mtu. Maarifa ni ya mtu.
Pole kwa kutetea "zigo la miba".

Ubaya na uzuri wa hilo kundi ni kuwa lina idadi kubwa ya watu, na wengi wao hata hawajijui kuwa ni majuha!
Stop bitting around the damn bush, hapa mhusika asiyeambilika ni mmoja tu. Anafahamika. Bingwa wa kushauri washauri. Mropokaji in chief.

Hayo sasa ni maoni yako tu. Na maoni yako si lazima yawe ndo uhalisia wa wengine.
JamiiForums is a 'User Generated Content' site;
Am serving the purpose of the platform, kama umekuja hapa kukopi mawazo ya watu acha kutujazia server.

Wewe ulitaka afanye nini kipindi hicho?
MAN-UP.

Wanafiki mbona wapo wengi tu.....
Na unafiki kwenye siasa wala si jambo geni au la ajabu.
Ni nani asiye mnafiki kwenye siasa?

Is he a politician now? what happened to Mimi sio mwanasiasa soundbites?forgot that one as well? SMDH
 
Back
Top Bottom