Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,050
- 5,079
Kwa timu ile ya mabepari na mabwenyenye waliokua wanampa pesa za nauli ya kwenda magogoni angeuza hata Mlima Kilimanjaro
Mavi matupuRais Magufuli ni kiongozi ambae watanzania si kana kwamba tu watamkumbuka akimaliza muda wake bali pia watatamani awaongoze zaidi ya kipindi ya mihula miwili.
Mark my words.
Kwani Karamagi kakamatwa!?Lowasa amukamate Karamagi? Thubutu!
Mwaka 1995 Nyerere alionya Ubinafsishaji Wa NBC kuwa haiwezi kushindana na Mabenki makubwa mkampuuza.Nauliza tu.
Na nauliza kwa nia njema kabisa.
Hivi rais angekuwa Lowassa, kupitia chama chochote kile, iwe CCM au CHADEMA, mnadhani angekuwa hata na uthubutu wa kuyafanya kama haya anayoyafanya rais Magufuli, kwa mintarafu ya hizi taarifa za tume ya kuchunguza mchanga wa madini?
Nani humu anayeamini kwa moyo wote kabisa kwamba Lowassa angeweza kuyafunua mambo ambayo kwa kweli yanaiweka CCM pabaya?
Nani humu anayedhani kuwa huyo poster boy wa ufisadi Tanzania angekuwa na uhalali wa mamlaka ya kimaadili kufanya kama anavyofanya sasa rais Magufuli?
Najua wengi wenu humu mnampinga Magufuli.
Pamoja na mapungufu yake, mimi naamini historia itakuja kumhukumu katika mwanga ulio chanya kwa kuwa rais mzalendo na mwenye uchungu na Tanzania.
Kama Kikwete watu mshaanza kumkumbuka basi sina kabisa shaka lolote lile kuwa hata Magufuli naye atakumbukwa vizuri tu.
Haya sasa kazi kwenu nyie wafia vyama na ukabila. Rusheni kejeli na tuhuma zenu kuwa mimi ni CCM na mkabila.
Tatizo sio CCM wala upinzani, tatizo letu kama nchi ni hulka ya upigaji na deal, kama jamii tumeoza kimaadiliMimi ingekuwa ni wewe ningeuliza:-
HIVI KWANINI SISI CCM TULISHINDWA KUYAFANYA YOTE HAYA TOKA UHURU..?? LABDA LEO TANZANIA TUNGEKUWA DONOR COUNTRY......!!!! AU LABDA NCHI ILITAKIWA WAPEWE WAPINZANI TOKA MWANZO...!!!
MTANYOOKA GADEEEEMUMavi matupu
Lowasa gan au lile jiz la lichimond au mwingine au lile jiz la dowans
No sir.Hivi rais angekuwa Lowassa, kupitia chama chochote kile, iwe CCM au CHADEMA, mnadhani angekuwa hata na uthubutu wa kuyafanya kama haya anayoyafanya rais Magufuli, kwa mintarafu ya hizi taarifa za tume ya kuchunguza mchanga wa madini?
Kabisa Mkuu. Hapa tu wengine tunatamani aongezewe tu mapema. We are so proud of our president.Rais Magufuli ni kiongozi ambae watanzania si kana kwamba tu watamkumbuka akimaliza muda wake bali pia watatamani awaongoze zaidi ya kipindi ya mihula miwili.
Mark my words.
Hawaamini. Walimchukulia poa sana.Hakuna kiongozi yoyote kutoka upinzani ambaye angeweza kuyafanya anayofanya Jpm, hilo hata wao wanalijua na ndiomana wapo kimya mpaka sasa.kwanza hawakuamini kama jpm angeweza, ndiomana akina tundu lissu walikuwa wakipiga kelele na kutaka kuuaminisha umma kuwa anachofanya jpm ni makosa, leo toka report imetoka ameufyata
Hangekuwa na ujasiri wa kutoa maboko live namna hii!!!Nauliza tu.
Na nauliza kwa nia njema kabisa.
Hivi rais angekuwa Lowassa, kupitia chama chochote kile, iwe CCM au CHADEMA, mnadhani angekuwa hata na uthubutu wa kuyafanya kama haya anayoyafanya rais Magufuli, kwa mintarafu ya hizi taarifa za tume ya kuchunguza mchanga wa madini?
Nani humu anayeamini kwa moyo wote kabisa kwamba Lowassa angeweza kuyafunua mambo ambayo kwa kweli yanaiweka CCM pabaya?
Nani humu anayedhani kuwa huyo poster boy wa ufisadi Tanzania angekuwa na uhalali wa mamlaka ya kimaadili kufanya kama anavyofanya sasa rais Magufuli?
Najua wengi wenu humu mnampinga Magufuli.
Pamoja na mapungufu yake, mimi naamini historia itakuja kumhukumu katika mwanga ulio chanya kwa kuwa rais mzalendo na mwenye uchungu na Tanzania.
Kama Kikwete watu mshaanza kumkumbuka basi sina kabisa shaka lolote lile kuwa hata Magufuli naye atakumbukwa vizuri tu.
Haya sasa kazi kwenu nyie wafia vyama na ukabila. Rusheni kejeli na tuhuma zenu kuwa mimi ni CCM na mkabila.
Ashakum sii matusi, Nyani Ngabu ukimpapasa mkeo unatengeneza mazingira kwa masela kumkuna kiulainiiii.Hakika rais Magufuli anastahili pongezi kubwa sana kwa sababu ya walau kuanzisha mjadala wa kitaifa kuhusu hizi rasilimali za nchi.
Historia itamhukumu vizuri sana, naamini.
Wa kwanza kushughulikiwa angekuwa JPM kuhusu kivuko na nyumba za serikali.Hakika rais Magufuli anastahili pongezi kubwa sana kwa sababu ya walau kuanzisha mjadala wa kitaifa kuhusu hizi rasilimali za nchi.
Historia itamhukumu vizuri sana, naamini.
Acha utani. Yani Lowassa asikilize anachoambiwa na Lissu, Mbowe, Mnyika?!! Unachekesha. Wote hawa aliwanunua, sasa wangekuwaje na say kwake! Nchi ingeendeshwa na Lowassa pamoja na rafiki zake (wenye uchu na rasilimali zetu, madaraka, 'madeal' na wakwepa kodi, wauza unga..). Mlishabikia 'usanii', bahati nzuri Mungu anatupenda Watanzania.Suala la mikataba mibovu liliamshwa na upinzani kwa hiyo angekuwa Rais kwa kupitia upinzani angerekebisha tu. Kama angekuwa Rais wa CCM basi ingekuwa ni fait accompli tu.