kwani wewe utamwambia nini mtoto wako? Mbona mnapenda ku-judge watu namna hiyo? wewe ishi maisha yako nenda zako. Wewe hayo mawazo umeyapataje kama sio kuwa na mawazo kama hayo? Na wewe utawaambia nini watoto zako?
mimi naona ni pre-emptive strike ya mzee. anahisi anaweza kuja letewa mkwe toka kwenye hiyo kwaya. so akishawachuja wote, kijana ataona noma kuleta mkwe mtarimbo. itabidi aingie tena mwituni kutafuta kitu ambacho mzee ataridhishwa nacho. na changamoto kwa dogo awe makini!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.