Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Sometime naona tunachanganyana kwenye maana ya bepari Vs ujamaanaubeari kinadharia na uhalisia wake kwenye nchi mbali mbali.
UK tunaijua wengi kama nchi ya kibepari toka zamani lakini . ukisoma soma wanavyoendesha mambo kihalisia kuna ujamaa mingi tu.
Matokeo yake wanakuwa wepesi wa kuyauruga na kuuza mashirka nyeti kama RELI na TANESCO alafu wanakumbatia mashirika yasiyo na Tija kwa watanzania kama ATCL .
Uwe ni ujamaa au ubepari kwa hali tuliyonayo serikali ya chama kinachofaa Tanzania kile kiko tayari kuwa share hodler mkubwa tu wa mambo ya Nishati hasa umeme na kubinafsidha 100% anga na kuwa na stake ya atleast 70% kwenye RELI
Kifupi hivi sasa kuna tofauti ndogo sana(kisera ) kati ya CDM na CCM. Tofauti iiyop labada ni UFISADIambao ukweli unameza pesa kubwa sana na Hata CDM au CUF wakifanya yale yale MInus ufisadi japo si dawa kuna hatua zitapigwa kwa kasi
UK tunaijua wengi kama nchi ya kibepari toka zamani lakini . ukisoma soma wanavyoendesha mambo kihalisia kuna ujamaa mingi tu.
- Single biggeest employer wa UK ni BAE ambyo ni kampuni ya kijeshi
- Single biggest exporter wa UK ni BAE
- Pubic sector nyingine ya ya afya UK nayo ukisoma ni kama ya kijamaa
- Kuna wakati nilisoma kwenye elimu kulikuwa na sera shule binafsi zilizofanya vibaya zinawekwa chin ya uangalizi na usimamizi wa Serikali( ujamaa fulani)
- Kampuni kama za BP ,British Telecom ,Britisha Airways historia zao inaonyesha zilikuwa chini ya usimamizi tena wa karibu wa serikali ( somehow kijamaa) mpaka miaka ya karibuni
- Hata makampuni na mabenki yalyokuwa 100% private tumesikia hivii karibuni kuwa "They are tobig to fall" . Ilibidi "ujamaa" utumike kyaokoa hayo makampuni na mabenki.
Matokeo yake wanakuwa wepesi wa kuyauruga na kuuza mashirka nyeti kama RELI na TANESCO alafu wanakumbatia mashirika yasiyo na Tija kwa watanzania kama ATCL .
Uwe ni ujamaa au ubepari kwa hali tuliyonayo serikali ya chama kinachofaa Tanzania kile kiko tayari kuwa share hodler mkubwa tu wa mambo ya Nishati hasa umeme na kubinafsidha 100% anga na kuwa na stake ya atleast 70% kwenye RELI
Kifupi hivi sasa kuna tofauti ndogo sana(kisera ) kati ya CDM na CCM. Tofauti iiyop labada ni UFISADIambao ukweli unameza pesa kubwa sana na Hata CDM au CUF wakifanya yale yale MInus ufisadi japo si dawa kuna hatua zitapigwa kwa kasi