achaneni naye kwanza ana tuhuma yeye na jamaa zake kutumia kivuli cha serengeti freight Uk kuuza cocaine
Jamaa ni wabaguzi na kila mtu anajua hilo
Tatizo vijana wengi wamekuwa kama misukule hata hili la lwakatare hawalioni wanaona ni sawa tu
Mnaambiwa ukweli mnaona uongo na ujinga, labda kama wewe ni wa kaskazini, lakini kama umetoka mikoa tofauti kama mimi basi akili yako itakuwa imezungukwa na barafu ndio maana hata picha huelewiMWEZI UMEAANDAMA ! MGONJWA HUYO KAIBUKA NA MIWANI YA JUA USONO ANAFICHA UCHAKAVU WA TULE TUVIDONGE. TANZANIA IMEANZA KAMPENI YA KUMPAMBANA NA WAFANYA BIASHARA YA HIYO ZANA INAYOKUELEKESHA PUTA. WEWE HUPONI, LABDA KAMA KALE KAUGONJWA KATAKUWAISHA. HUO USO UMEHARIBIKA MNO NA KOTI HALITOKI MWILINI, NI WA KUHURUMIA MAANA WEWE NI MAREHEMU TAYARI. BUNGENI aka SUMU aka CHILISOSI aka ASSADSYRIA aka CHILISOSI aka CHRIS MKOSI ZEE LA MAPOVU. WASTE OF LIFE!
Hivi huoni tofauti ya picha za nassari na lwakatare wakiwa wamelazwa hospitali moja?
nyote mnajua kuwa juzi tu babu aliongozana na familia nzima hadi wapambe kwenda kufanyiwa check up ya kisukari ujerumani, jambo ambalo sio tu linaweza kufanywa na hospitali ya kawaida nyumbani bali pia ni la kwaida sana nyumbani.
Wakati tukishuhudia babu kwa muda wa wiki mbili na nusu kwa gharama kubwa zisizo mfano, leo hii kamanda ambaye juzi tu alisota rumande kwa mwezi mzima na kuwa gumzo kwa jamii kwani alikuwa akiwakilisha chama, kwa bahati mbaya ameugua na imebidi alazwe lakini matibabu aliyoyapata ni sawa tu na wanayopata raia wa kawaida muhimbili.
Mbona nasari juzi alivyojipiga ngumi ya pua alipewa first class treatment?
Makamanda inabidi muwaogope sana hawa viongozi wenu kwa ubaguzi wao.
Jitambue
Be honest, huu ni ubaguzi wa hali ya juu sana, kwa nini nassari alitibiwa first class halafui lwakatare analala muhimbili third class?
achaneni naye kwanza ana tuhuma yeye na jamaa zake kutumia kivuli cha serengeti freight Uk kuuza cocaine