Angalieni mpangilio wa tarehe hizi zenye jumla ya siku 33 ndani ya mwaka huu 2019

Kwenye huo unaouiita ujinga ujinga, ndiyo huwa kuna siri za mambo makubwa yamejificha humo! Mambo makubwa huwa hayajifichi kwenye mambo makubwa, huwa yanajifificha kwenye vitu vya kijinga kijinga ili akili kubwa itumike kuweza kuyaona!. Kwa mfano, kuna real story ya jamaa mmoja aliwahi kufukua maiti halafu akaenda akaichoma kwenye gari lake, ili ionekeane kuwa amepata ajali yeye mwenyewe akiwa anaendesha gari, ili mke wake alipwe LIFE INSURANCE, hatimaye yeye akawa amebadilisha identity baada ya muda, ikaonekana ni mchumba mpya wa yule mwanamke aliyepoteza mme wake kwa ajali ya gari,..., ili wale bata vizuri! Kumbe polisi walishauona mchoro kwenye scene ya ajali kwa vitu viwili vidogo tu, cha kwanza "there was no skidding marks on the road" ambazo zingethibitisha kuwa ilikuwa ajali iliyopelekea gari kuungua, na cha pili, dereva akipata ajali akaungua ndani ya gari alilokuwa akiendesha, kiti cha dereva huwa hakiteketei chote. Kwa case ya huyu jamaa kwa sababu alienda akafukua maiti ya miezi kadhaa na kuiweka kwenye gari ahalafu akaitia kiberiti, kiti cha dereva kilikuwa kimetekea chote! Mambo makubwa huwa hayajifichi kwenye vitu vikubwa sana, in most cases!
NDIO MAANA UPELELEZI WA JAMBO HUANZIA KATIKA KITU CHA KIJINGA SANA
 
Mngekuja na namna ya mchanganuo wa ku`crack codes za how unaweza kujitengenezea vocha mwwenyewe,mngekuwa mmefanya la maana sana,always najiuliza ni machanism gani imetumika kutengeneza vocha hadi watu washindwe kukisia tarakimu sahihi?

Watu hawashindwi kuingiza vocha ya wizi kwenye simu. Ni kwamba vocha ya wizi imezuiwa na ma-ISP kwa ku-limit the number of trials za kuingiza vocha. Wakiondoa hiyo, watu wengi sana wanaweza kujaza vocha za bure kwenye simu. Vile vile huwezi ku-crack codes zao bila kuwa ume-hack system yao kwanza. Unless you hack their systems, it will then be possible for you to crack their codes. By the way, are you prepared and happy to become a criminal?
 
Siku zifuatazo kwa mwaka huu, zote tarehe zake zimeundwa na tarakimu ya 0, 1, 2 na 9. Nazo ni:

1. KWA JANUARY peke yake tu ni siku 11 nazo ni:
tarehe 01/01/2019,02/01/2019, 09/01/2019 (jana), 10/01/2019 (leo), 11/01/2019 (kesho), 12/01/2019 (kesho kutwa), 19/01/2019, 20/01/2019,21/01/2019, 22/01/2019, 29/01/2019

2. KWA FEBRUARY vile vile ni siku 11 nazo ni:
tarehe 01/02/2019,02/02/2019, 09/02/2019, 10/02/2019, 11/02/2019, 12/02/2019, 19/02/2019, 20/02/2019,21/02/2019, 22/02/2019, 29/01/2019

2. KWA SEPTEMBER vile vile pia ni siku 11 nazo ni:
tarehe 01/09/2019,02/09/2019, 09/09/2019, 10/09/2019, 11/09/2019, 12/09/2019, 19/09/2019, 20/09/2019,21/09/2019, 22/09/2019, 29/09/2019.

Kwa hiyo kwa mwaka huu kuna siku 33 ambazo tarehe zake zimeundwa na tarkimu 0, 1. 2 na 9
Naomba kama kuna mtu ana rekodi kubwa zaidi ya hii atuwekee hapa!

Mbarikiwe tena
😂😂😂 ila Anko Magu kiboko daah hadi watu wanahesabu tarehe zilizofanana kwenye kalenda si mchezo nusu uchizi huu
 
Ooh hapo nimeelewa shukran
Yani kuna miaka namba tajwa hufanana kimatamshi/uandishi wake mara nyingi zaidi!.. Sasa mwaka 2019 kwa maneno ya mleta mada ndio mwaka wenye idadi kubwa ya namba hizo kujirudia!..
 
Ndugu hebu fanya mpango uwe unatuma namba sahihi za Tatumzuka tupige pesa. Wewe utakula kamisheni yako bila jasho jingi.
 
Back
Top Bottom