Angalia na hizi

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,231
Baba na mtoto
Baba: Mwanangu ukiwa na hasira unafanya nini?
Mtoto: Naenda chooni.
Baba: Chooni? Kufanya nini?
Mtoto: Kusafisha.
Baba: Halafu ndio hasira zinaisha?
Mtoto: Ndio nasafisha choo kwa mswaki wako.
 
Jamaa alienda nunua tai alipofika ikawa hivi:
Muuza duka: Karibu, nikusaidie nini?
Mteja: Natafuta tai iliyochanganyika na maziwa na kahawa hivi.
Muuza duka: Sijajua na sukari je au hutoitaji?
 
Jamaa akimshushua mwenzake "mshkaji wangu we tatizo unakopa sana, chuupi unakopa, maji unakoopa, mwanamke ukienda nae gesti unakopa pia" Jamaa akajibu: Sasa JK amefanya hali ya uchumi iwe tete mi ningefanyaje?
 
Mwanamke: Nilikubali kuolewa na wewe haraka haraka kwasababu nlikua nna hasira siku ile.
Mwanaume: Ooh! Mie sikuliona hilo nlikua kwenye dimbwi la mapenzi juu yako.
 
Baba na mtoto
Baba: Mwanangu ukiwa na hasira unafanya nini?
Mtoto: Naenda chooni.
Baba: Chooni? Kufanya nini?
Mtoto: Kusafisha.
Baba: Halafu ndio hasira zinaisha?
Mtoto: Ndio nasafisha choo kwa mswaki wako.

Namchukua huyo mtoto na mnyoa kipara namtia makwezi mpaka anye na akinya napiga mpaka n'nya yake!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom