SaaMbovu JF-Expert Member Oct 8, 2013 6,027 5,342 May 17, 2015 #1 Kama kawaida Attachments 1431861072987.jpg 36 KB · Views: 1,097
SaaMbovu JF-Expert Member Oct 8, 2013 6,027 5,342 May 17, 2015 Thread starter #3 Ndinani said: Nani anafuga fisi? Click to expand... Watu mkuu.
Diva Beyonce JF-Expert Member Mar 6, 2014 12,916 11,249 May 17, 2015 #4 Ha haaaa fisi wa uchawi au? Mana anahusishwa na hizo imani.
SaaMbovu JF-Expert Member Oct 8, 2013 6,027 5,342 May 17, 2015 Thread starter #5 Diva Beyonce said: Ha haaaa fisi wa uchawi au? Mana anahusishwa na hizo imani. Click to expand... Tutashuhudia mengi sana kabla ya uchaguzi
Diva Beyonce said: Ha haaaa fisi wa uchawi au? Mana anahusishwa na hizo imani. Click to expand... Tutashuhudia mengi sana kabla ya uchaguzi
Marire JF-Expert Member May 1, 2012 12,326 5,266 May 18, 2015 #6 Naomba niulize wakuu serious kabisa Kulikuwa na mantiki gani ya kuleta hao fisi kwenye mkutano?
S shabani ponera Senior Member Oct 15, 2014 158 34 May 18, 2015 #7 Marire said: Naomba niulize wakuu serious kabisa Kulikuwa na mantiki gani ya kuleta hao fisi kwenye mkutano? Click to expand... kama wananchi hamuendi kwenye mikutano yao mnataka wafanyeje?
Marire said: Naomba niulize wakuu serious kabisa Kulikuwa na mantiki gani ya kuleta hao fisi kwenye mkutano? Click to expand... kama wananchi hamuendi kwenye mikutano yao mnataka wafanyeje?