- Thread starter
- #21
Umeshindwa kuitaja hiyo kauli.hiyo pamoja na nyingine nyingi zinazo kick fikrani mwako...
Ni Bora ukae kimya kuliko kutunga uongo!
Umeshindwa kuitaja hiyo kauli.hiyo pamoja na nyingine nyingi zinazo kick fikrani mwako...
Kama chochote chenye jina kina exist, nikiipa jina hali ya kutokuwepo kabisa Mungu, nikalitaja jina hilo, Mungu atakuwa hayupo kwa sababu chochote chenye jina kina exist?Chochote chenye Jina kina exist.
Mungu ni Noun, yupo.
Mimi ninaongeaga nae na kusikia sauti yake.
Ndiye huyo akupaye Pumzi Bure Kisha unamkataa!!
namtungiaje uongo aliekua mnyanganyi bayana...Umeshindwa kuitaja hiyo kauli.
Ni Bora ukae kimya kuliko kutunga uongo!
Ndo mana nasema unakosea kusema usemavyo ilhali Hujamtafuta Mungu kuthibitisha uwepo wake, unakimbilia kusema hayupo!!Kama chochote chenye jina kina exist, nikiipa jina hali yavkutokuwepo kabisa Mungu, nikalitaja jina hilo, Mungu atakuwa hayupo kwa sababu chochote chenye jina kina exist?
Kuna miungu maelfu kwa maelfu, wengine tabia zao zinapingana kimantiki kuwafanya wote wasiweze kuwapo pamoja, na wote wana majina, ina maana wote wananexist?
Hujathibitisha Mungu yupo. Umethibitisha una imani Mungu yupo.
Hiyo habari ya kuongea naye unaweza kuwa una matatizo ya akili tu ukajiona unaongea na Mungu, kumbe unasikia maruweruwe tu.
Jikite kwenye mada. Unaongea out of context.namtungiaje uongo aliekua mnyanganyi bayana...
ukiokoka kaa kwenye wokovu kwa kuongoka, usijipe umuhimu zaid ya wengine kupita kiasi, usijihesabie haki, kuhukumu na kulaani wengine, wala usiwe na tamaa ya kujivika umungu au kutamani nafasi ya Mungu...Jikite kwenye mada. Unaongea out of context.
Unajuaje sijamtafuta Mungu?Ndo mana nasema unakosea kusema usemavyo ilhali Hujamtafuta Mungu kuthibitisha uwepo wake, unakimbilia kusema hayupo!!
Nimekwambia Mimi naongeaga naye, wewe unasema ni maruweruwe,
Imekuwaje wewe kudai Mimi Nina maruweruwe kabla ya kuthibitisha kuwa ninayeongea naye ni Mungu au la!!
Naunga mkono HOJA.ukiokoka kaa kwenye wokovu kwa kuongoka, usijipe umuhimu zaid ya wengine kupita kiasi, usijihesabie haki, kuhukumu na kulaani wengine, wala usiwe na tamaa ya kujivika umungu au kutamani nafasi ya Mungu...
Wacha porojo,Unajuaje sijamtafuta Mungu?
Unaweza kuorodhesha njia ambazo wewe umemtafuta Mungu ili tuzilinganishe na zile ambazo mimi nimemtafuta Mungu?
Na kama kweli Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo, kwa nini tunahitaji kumtafuta?
Kwa nini asijidhihirishe kwetu bila utata wowote, bila ugumu wowote, kwa njia ambayo itafanya suala hili liwe na uwazi kwa kila mtu, mpaka hata huu mjadala usiwezekane kufanyika kwa sababu kila mtu anaelewa vizuri kabisa Mungu yupo?
Mungu anajifichaficha mpaka atafutwe kwani anaogopa nini? Anadaiwa kodi na TRA?
Ukitaka maisha marefu duniani, jifunze unyenyekevu na kuepuka kujimilikisha sifa za Mungu.
Wacha porojo,
Thibitisha Mungu kuwa hayupo.
Mimi nimethibitisha yupo na huongea naye.
Nithibitishie wewe kuwa Mungu hayupo.
Ubarikiwe na Mungu🙏
Hapa unadanganya,Ndo mana nasema unakosea kusema usemavyo ilhali Hujamtafuta Mungu kuthibitisha uwepo wake, unakimbilia kusema hayupo!!
Nimekwambia Mimi naongeaga naye, wewe unasema ni maruweruwe,
Imekuwaje wewe kudai Mimi Nina maruweruwe kabla ya kuthibitisha kuwa ninayeongea naye ni Mungu au la!!
Angazia matendo hayo yakutiayo jakamoyo kuhusu Mimi kuongea na Mungu.Hapa unadanganya,
Matendo yako hapa jukwaani hayathibitishi kabisa kama wewe unaweza kuzungumza na Mungu.
Andrew na Madaraka Si mtu mmoja!!Tumshukutu MUNGU kama kakangu Andrew ndo kasema haya ni jambo jema sana kuliko Ile kauri ya ni yeye huko Ethiopia wakati macho yanaona siye.
Mimi nina amini uwepo wa Mungu kiimani,naendelea kumsoma katika kumtafuta. Ila hili la kuthibitisha kitu kisichokuwepo inawezekana kweli?Wacha porojo,
Thibitisha Mungu kuwa hayupo.
Mimi nimethibitisha yupo na huongea naye.
Nithibitishie wewe kuwa Mungu hayupo.
Ni Muhimu athibitishe Mungu hayupo,Mimi nina amini uwepo wa Mungu kiimani,naendelea kumsoma katika kumtafuta. Ila hili la kuthibitisha kitu kisichokuwepo inawezekana kweli?