Anayofanya Pinda na Rais Kikwete ni dalili mbaya kwa utawala bora

Ntemi Kazwile

JF-Expert Member
May 14, 2010
2,182
307
Nimesikitishwa na taarifa niliyoisikia kwenye taarifa ya magazeti ya leo kuwa waziri Mkuu Pinda amesitisha zoezi lililokuwa linaendelea nchi nzima la kuwaondoa wavamizi wa barabara zetu. Kwa hakika haya ni maamuzi ya hovyo kabisa na hayatakiwi kuungwa mkono kwani yataendeleza uvunjaji wa sheria bila wahalifu kuadhibiwa.

Wanasiasa waliochoka hujitahidi kufanya maamuzi yanayopendwa na wengi tu, yale yote yasiyoungwa mkono na wengi huyaepa... lakini ukweli ni kwamba bila maamuzi yasiyopendwa dunia hii ingebaki kuwa ya ujima.. historia inatuambia kuwa maamuzi yaliyoonekana kuwa ya kijinga na kupingwa na watu wengi ndiyo yamelete neema kwenye maisha yetu ya leo {safari za mwezini,mawasiliano ya simu, redio, safari ya Ulaya-Mareka ya Christopher Collumbus, n.k.}
Bila kuwa na miundombinu inayoendana na maendeleo ya wanadamu basi tujue tunakaribisha maafa.... bomoa bomoa ni uamuzi mgumu na ambao unapingwa lakini manufaa yake ni makubwa kuliko manung'uniko yake.

Uamuzi uliochukuliwa na Pinda unafanana kabisa na maumuzi kadhaa aliyochukua Kikwete siku za karibuni.. Katiba mpya na Dowans ndiyo nayakumbuka kwa karibu..

Katiba Mpya - Waziri wa Sheria na Katiba na Mwanasheria Mkuu wa Serikali walikataa kata kata kuwa serikali yetu haikuwa na nafasi ya kutengeneza katiba mpya kwa wakati huu kutokana na ukosefu wa rasilimali pesa, sitaki kuamini kuwa kauli hizi zilikuwa zao binafsi.. huu ulikuwa ndio msimamo wa Rais na serikali yake.. lakini baada ya kuona kuwa uamuzi huu haukupendwa na wengi Rais alijitokeza na kusema kuwa ataanzisha mchakato wa kuandika katiba mpya.. kwa juu juu huu ulikuwa uamuzi mzuri lakini kwa uthabiti wa maamuzi huu ulikuwa uamuzi wa hatari kwa serikali (ni muhimu serikali kusimamia misimamo yake kama kweli inaamini ni mizuri hata kama wananchi hawataipenda.. unaweza kubadilisha tu pale unapogundua kuwa maamuzi ya awali yalifanyikwa kwa taarifa ambazo hazikuwa sahahi.. hii siyo mojawapo ya sababu zilizoifanya serikali ya Kikwete kubadili msimamo wake kuhusu katiba mpya bali ilitaka kufanya maamuzi yanayopendwa na wengi).
Dowans.. kamati kuu ya CCM ilisema Dowans walipwe (Kikwete ndiye mwenyekiti wa kikao kilichoidhinisha Dowans walipwe). Kikwete alipokutana na wabunge wake aligundua kuwa wengi wao hawakuupenda uamuzi uliofanywa na Kamati Kuu ya Chama chao.. akabadili msimamo tena na kuanza kutuambia kuwa hapendi kuona Dowans inalipwa.

Kwangu mimi nachukilia hivi kuwa ni moja wapo ya dalili za mwanzo kabisa kuwa serikali yetu inaanguka kwa kasi ya ajabu.. serikali isiyokuwa na ujasiri wa kusimamia sheria zake haifai kuwepo madarakani!
 
Nimesikitishwa na taarifa niliyoisikia kwenye taarifa ya magazeti ya leo kuwa waziri Mkuu Pinda amesitisha zoezi lililokuwa linaendelea nchi nzima la kuwaondoa wavamizi wa barabara zetu. Kwa hakika haya ni maamuzi ya hovyo kabisa na hayatakiwi kuungwa mkono kwani yataendeleza uvunjaji wa sheria bila wahalifu kuadhibiwa.

Wanasiasa waliochoka hujitahidi kufanya maamuzi yanayopendwa na wengi tu, yale yote yasiyoungwa mkono na wengi huyaepa... lakini ukweli ni kwamba bila maamuzi yasiyopendwa dunia hii ingebaki kuwa ya ujima.. historia inatuambia kuwa maamuzi yaliyoonekana kuwa ya kijinga na kupingwa na watu wengi ndiyo yamelete neema kwenye maisha yetu ya leo {safari za mwezini,mawasiliano ya simu, redio, safari ya Ulaya-Mareka ya Christopher Collumbus, n.k.}
Bila kuwa na miundombinu inayoendana na maendeleo ya wanadamu basi tujue tunakaribisha maafa.... bomoa bomoa ni uamuzi mgumu na ambao unapingwa lakini manufaa yake ni makubwa kuliko manung'uniko yake.

Uamuzi uliochukuliwa na Pinda unafanana kabisa na maumuzi kadhaa aliyochukua Kikwete siku za karibuni.. Katiba mpya na Dowans ndiyo nayakumbuka kwa karibu..

Katiba Mpya - Waziri wa Sheria na Katiba na Mwanasheria Mkuu wa Serikali walikataa kata kata kuwa serikali yetu haikuwa na nafasi ya kutengeneza katiba mpya kwa wakati huu kutokana na ukosefu wa rasilimali pesa, sitaki kuamini kuwa kauli hizi zilikuwa zao binafsi.. huu ulikuwa ndio msimamo wa Rais na serikali yake.. lakini baada ya kuona kuwa uamuzi huu haukupendwa na wengi Rais alijitokeza na kusema kuwa ataanzisha mchakato wa kuandika katiba mpya.. kwa juu juu huu ulikuwa uamuzi mzuri lakini kwa uthabiti wa maamuzi huu ulikuwa uamuzi wa hatari kwa serikali (ni muhimu serikali kusimamia misimamo yake kama kweli inaamini ni mizuri hata kama wananchi hawataipenda.. unaweza kubadilisha tu pale unapogundua kuwa maamuzi ya awali yalifanyikwa kwa taarifa ambazo hazikuwa sahahi.. hii siyo mojawapo ya sababu zilizoifanya serikali ya Kikwete kubadili msimamo wake kuhusu katiba mpya bali ilitaka kufanya maamuzi yanayopendwa na wengi).
Dowans.. kamati kuu ya CCM ilisema Dowans walipwe (Kikwete ndiye mwenyekiti wa kikao kilichoidhinisha Dowans walipwe). Kikwete alipokutana na wabunge wake aligundua kuwa wengi wao hawakuupenda uamuzi uliofanywa na Kamati Kuu ya Chama chao.. akabadili msimamo tena na kuanza kutuambia kuwa hapendi kuona Dowans inalipwa.

Kwangu mimi nachukilia hivi kuwa ni moja wapo ya dalili za mwanzo kabisa kuwa serikali yetu inaanguka kwa kasi ya ajabu.. serikali isiyokuwa na ujasiri wa kusimamia sheria zake haifai kuwepo madarakani!

Imebidi waziri mkuu aingile kati ili kuokoa fEdha za serikali kulazimika kuwalipa watu fidia baada ya kushinda kezi zao mahakamani kama ilivyotokea 2001 wakati Magufuli alipoagiza Petrol Station mjini Mwanza ibomolewe kwa madai kuwa imejengwa katika hifadhi ya barabara kumbe sio kweli hata kidoo. Serikali ililazimika kulipa fidia ya bilioni 3 kwa mmiliki wa petrol station iliyobomolewa. Baadaye ukweli halisi ulifichuka kuwa Magufuli alikuwa na chuki na mhandisi wa Jiji la Mwaza aitwaye Tizeba, chuki zao zilianzia wizarani, akahamishwa kuja Tume ya Jiji la DSM, lakini aliendela kumuandama mpaka alipohamishiwa Jiji la Mwanza ndipo kuwa mhandisi wa jiji hilo. Aliwahi hata kufanya jitihada za kujaribu jina la mhandisi huyo kufutwa katika orodha ya wahandisi waliosajiliwa hapa nchini. Katika kutimiza kiu ya chuki zake ndipom akaamuru Petrol Station hiyo ibomolewe ma Serikali kulipa Bilioni 3.

Jumamosi iliyopita ulikuwepo na mkutano wa waathirika wa eneo la Ubugo Kimara, zaidi ya watu 50 wana hati miliki, na nyumba zao tayari zimechafuliwa kwa kuweka alama ya x na "maneno bomoa mali ya tanroad" je huo si ukiukwaji wa sheria za nchi? Mtu kama huyu unaweza kusema anafuta sheri kweli? Kwani magufuli anatumika serikali ipi na ni serikali ipi iliyowapatia wananchi hao hati miliki?

Ibara ya 2 ya sheria ya barabara ya 1967 inatamka wazi wazi kuwa hifadhi ya barabara zote kuu (trunk roads) hapa nchini itakuwa futi 75 au mita 22.86 kila upande sawa na futi 150 au mita 45 pande zote mbaiuli. Ibara ya 27 ya kanuni za sheria ya barabara ya 2007 zilizopitishwa kupita tangazo la serikai na 21 la tar 23 januari 2009 inatamka kuwa upana wa chini kabisa wa "lane" moja ya barabara kuu hapa nchin utakuwa si chini ya ni mita 3.25. Hivyo eneo la hifadhi ya barabara la mita 45 lina uwezo wa kuzalisha lane 14; lane 7 za kwenda upande mmoja na lane 7 za kwenda upande mwingine. Nitajie barabar gani hapa nchini imewahi kutumia na kumaliza upana huo uliotengwa kiasi cha magafuli kuwavamia watu walioko mita 120 kutoka katakati ya barabara? Hivyo ni propaganda kudai kuwa msongamano wa magari unasababsihwa na watu kujenga katika hifadhi ya barabara.

Kifungu cha 15 na 16 cha sheria ya aradhi namba 5 ya 1999 vinatamka kuwa ugawaji wa ardhi uliofanyikia wakati wa operesheni vijiji ni halali (soma attachement) hivyo sheria ya barabara ya 1967 anayotumia magufuli mwaka 2001 hadi 2010 imeshafutika na haiapo kabisa. Maaufuli anatakiwa kwanza kujenga lane 14 katika hifadhi ya barabara iliyopo ndipo aje kuwaingilia walioko nje ya eneo hilo. Kwa hali hii utagundua kuwa mambo anayoyafanya magufuli ni matokeo ya kukurupuka kwake katika yote hamshirikishi ofisi ya waziri mku, wizara zingine, ngazi za mkoa, wilaya, manispaa, serikali za mitaa


PINDA AMECHUKUA MAAMUZI HAYO KWA KUZINGATIA YAFUTAYO:
Governments' Obligations to Ensuring the Human Right to Freedom from Forced Eviction

What provisions of human rights law guarantee everyone the Human Right to Freedom from Forced Eviction?

Includes excerpts from the Universal Declaration of Human Rights, the International Covenant on Economic, Social and Cultural Rights, the International Covenant on Civil and Political Rights, the Convention on the Elimination of All Forms of Discrimination Against Women, the Convention on the Elimination of All Forms of Racial Discrimination, and the Convention on the Rights of the Child.

"Everyone has the right to a standard of living adequate for the health and well-being of himself and his family, including food, clothing, housing and medical care and necessary social services, and the right to security in the event of unemployment, sickness, disability, widowhood, old age or other lack of livelihood...."
-- Universal Declaration of Human Rights, Article 25

"The States Parties ... recognize the right of everyone to an adequate standard of living for himself and his family, including adequate food, clothing and housing, and to the continuous improvement of living conditions...."
-- International Covenant on Economic, Social and Cultural Rights, Article 11

"Everyone shall have the right to freedom of association .... All persons are equal before the law and are entitled without any discrimination to the equal protection of the law...."
-- International Covenant on Civil and Political Rights, Articles 22 and 26

"Everyone shall have the right to freedom of association .... All persons are equal before the law and are entitled without any discrimination to the equal protection of the law...."
-- International Covenant on Civil and Political Rights, Articles 22 and 26

"States Parties shall take all appropriate measures to eliminate discrimination against women in rural areas ... to ensure ... the right ... to enjoy adequate living conditions, particularly in relation to housing, sanitation, electricity and water supply, transport and communications...."
-- Convention on the Elimination of All Forms of Discrimination Against Women, Article 14

"States Parties undertake to prohibit and to eliminate racial discrimination ... and to guarantee the right of everyone, without distinction as to race, colour, or national or ethnic origin, to equality before the law, ... in the enjoyment of ... the right to housing...."
-- Convention on the Elimination of All Forms of Racial Discrimination, Article 5

"States Parties recognize the right of every child to a standard of living adequate for the child¹s physical, mental, spiritual, moral and social development.... States Parties ... shall take appropriate measures to assist parents and others responsible for the child to implement this right and shall in case of need provide material assistance and support ..., particularly with regard to nutrition, clothing and housing."
-- Convention on the Rights of the Child, Article 27
 

Attachments

  • OPERESHENI VIJIJI KIFUNGU 15 NA 16.pdf
    773.9 KB · Views: 34
Imebidi waziri mkuu aingile kati ili kuokoa fEdha za serikali kulazimika kuwalipa watu fidia baada ya kushinda kezi zao mahakamani kama ilivyotokea 2001 wakati Magufuli alipoagiza Petrol Station mjini Mwanza ibomolewe kwa madai kuwa imejengwa katika hifadhi ya barabara kumbe sio kweli hata kidoo. Serikali ililazimika kulipa fidia ya bilioni 3 kwa mmiliki wa petrol station iliyobomolewa. Baadaye ukweli halisi ulifichuka kuwa Magufuli alikuwa na chuki na mhandisi wa Jiji la Mwaza aitwaye Tizeba, chuki zao zilianzia wizarani, akahamishwa kuja Tume ya Jiji la DSM, lakini aliendela kumuandama mpaka alipohamishiwa Jiji la Mwanza ndipo kuwa mhandisi wa jiji hilo. Aliwahi hata kufanya jitihada za kujaribu jina la mhandisi huyo kufutwa katika orodha ya wahandisi waliosajiliwa hapa nchini. Katika kutimiza kiu ya chuki zake ndipom akaamuru Petrol Station hiyo ibomolewe ma Serikali kulipa Bilioni 3.

Jumamosi iliyopita ulikuwepo na mkutano wa waathirika wa eneo la Ubugo Kimara, zaidi ya watu 50 wana hati miliki, na nyumba zao tayari zimechafuliwa kwa kuweka alama ya x na "maneno bomoa mali ya tanroad" je huo si ukiukwaji wa sheria za nchi? Mtu kama huyu unaweza kusema anafuta sheri kweli? Kwani magufuli anatumika serikali ipi na ni serikali ipi iliyowapatia wananchi hao hati miliki?

Ibara ya 2 ya sheria ya barabara ya 1967 inatamka wazi wazi kuwa hifadhi ya barabara zote kuu (trunk roads) hapa nchini itakuwa futi 75 au mita 22.86 kila upande sawa na futi 150 au mita 45 pande zote mbaiuli. Ibara ya 27 ya kanuni za sheria ya barabara ya 2007 zilizopitishwa kupita tangazo la serikai na 21 la tar 23 januari 2009 inatamka kuwa upana wa chini kabisa wa "lane" moja ya barabara kuu hapa nchin utakuwa si chini ya ni mita 3.25. Hivyo eneo la hifadhi ya barabara la mita 45 lina uwezo wa kuzalisha lane 14; lane 7 za kwenda upande mmoja na lane 7 za kwenda upande mwingine. Nitajie barabar gani hapa nchini imewahi kutumia na kumaliza upana huo uliotengwa kiasi cha magafuli kuwavamia watu walioko mita 120 kutoka katakati ya barabara? Hivyo ni propaganda kudai kuwa msongamano wa magari unasababsihwa na watu kujenga katika hifadhi ya barabara.

Kifungu cha 15 na 16 cha sheria ya aradhi namba 5 ya 1999 vinatamka kuwa ugawaji wa ardhi uliofanyikia wakati wa operesheni vijiji ni halali (soma attachement) hivyo sheria ya barabara ya 1967 anayotumia magufuli mwaka 2001 hadi 2010 imeshafutika na haiapo kabisa. Maaufuli anatakiwa kwanza kujenga lane 14 katika hifadhi ya barabara iliyopo ndipo aje kuwaingilia walioko nje ya eneo hilo. Kwa hali hii utagundua kuwa mambo anayoyafanya magufuli ni matokeo ya kukurupuka kwake katika yote hamshirikishi ofisi ya waziri mku, wizara zingine, ngazi za mkoa, wilaya, manispaa, serikali za mitaa


PINDA AMECHUKUA MAAMUZI HAYO KWA KUZINGATIA YAFUTAYO:
Governments' Obligations to Ensuring the Human Right to Freedom from Forced Eviction

What provisions of human rights law guarantee everyone the Human Right to Freedom from Forced Eviction?

Includes excerpts from the Universal Declaration of Human Rights, the International Covenant on Economic, Social and Cultural Rights, the International Covenant on Civil and Political Rights, the Convention on the Elimination of All Forms of Discrimination Against Women, the Convention on the Elimination of All Forms of Racial Discrimination, and the Convention on the Rights of the Child.

"Everyone has the right to a standard of living adequate for the health and well-being of himself and his family, including food, clothing, housing and medical care and necessary social services, and the right to security in the event of unemployment, sickness, disability, widowhood, old age or other lack of livelihood...."
-- Universal Declaration of Human Rights, Article 25

"The States Parties ... recognize the right of everyone to an adequate standard of living for himself and his family, including adequate food, clothing and housing, and to the continuous improvement of living conditions...."
-- International Covenant on Economic, Social and Cultural Rights, Article 11

"Everyone shall have the right to freedom of association .... All persons are equal before the law and are entitled without any discrimination to the equal protection of the law...."
-- International Covenant on Civil and Political Rights, Articles 22 and 26

"Everyone shall have the right to freedom of association .... All persons are equal before the law and are entitled without any discrimination to the equal protection of the law...."
-- International Covenant on Civil and Political Rights, Articles 22 and 26

"States Parties shall take all appropriate measures to eliminate discrimination against women in rural areas ... to ensure ... the right ... to enjoy adequate living conditions, particularly in relation to housing, sanitation, electricity and water supply, transport and communications...."
-- Convention on the Elimination of All Forms of Discrimination Against Women, Article 14

"States Parties undertake to prohibit and to eliminate racial discrimination ... and to guarantee the right of everyone, without distinction as to race, colour, or national or ethnic origin, to equality before the law, ... in the enjoyment of ... the right to housing...."
-- Convention on the Elimination of All Forms of Racial Discrimination, Article 5

"States Parties recognize the right of every child to a standard of living adequate for the child¹s physical, mental, spiritual, moral and social development.... States Parties ... shall take appropriate measures to assist parents and others responsible for the child to implement this right and shall in case of need provide material assistance and support ..., particularly with regard to nutrition, clothing and housing."
-- Convention on the Rights of the Child, Article 27

Kama Magufuli anaendesha operesheni kwa kukiuka sheria basi Pinda amuombe JK amufute kazi vinginevyo sikubalini na sababu yoyote ile ya kusitisha zoezi hili kama kweli wanaovunjiwa wamevamia hifadhi ya barabara
 
Kama Magufuli anaendesha operesheni kwa kukiuka sheria basi Pinda amuombe JK amufute kazi vinginevyo sikubalini na sababu yoyote ile ya kusitisha zoezi hili kama kweli wanaovunjiwa wamevamia hifadhi ya barabara

WAKATI MWINGINE HAMNA SABABU YAOYOTE YA KUNGOJA KUAMBIWA BORA UJISOMEE MWENYEWE:-Kifungu cha 15 na 16 cha sheria ya aradhi namba 5 ya 1999 vinatamka kuwa ugawaji wa ardhi uliofanyikia wakati wa operesheni vijiji ni halali (soma attachement) hivyo sheria ya barabara ya 1967 anayotumia magufuli mwaka 2001 hadi 2010 imeshafutika na haipo kabisa. Maaufuli anatakiwa kwanza kujenga lane 14 katika hifadhi ya barabara iliyopo ndipo aje kuwaingilia walioko nje ya eneo hilo. Kwa hali hii utagundua kuwa mambo anayoyafanya magufuli ni matokeo ya kukurupuka kwake katika yote hamshirikishi ofisi ya waziri mku, wizara zingine, ngazi za mkoa, wilaya, manispaa, serikali za mitaa
 
Nyerere alisema" SERIKALI YEYOTE ISIYOWEZA KUSIMAMIA MAPATO YAKE AU SHERIA ZAKE NI SERIKALI ILIYOKUFA AU NI CORRUPTED GOVERMENT"
 
nyerere alisema" serikali yeyote isiyoweza kusimamia mapato yake au sheria zake ni serikali iliyokufa au ni corrupted goverment"

ndio maana pinda kasimamisha bomoa bomoa ya magufuli kwa kuwa ilikuwa inageuza sheria kuwa kama "menu" za migahawa ambapo malaji huchagua chakula aki[pendacho na kuacha asichopenda. Hebu tazama hii sherianiliyoambatanisha hapa iliyopitishwa na bunge 1999 magufuli akiwa mbunge, uniambie kama sheria ya barabara bya 1967 anazotumia magufuli za 1967 bado ziko hai. Ni kwanini apuuze sheria aliyoshirki kuipitisha na mwaka 2001 avamie ardh na makzi ya wananchi kwa kupanda mawe na mabango yanayoonyesha mwisho wa hifadhi ya barabara na mwaka 2010 aweka alama za x?
 
Imebidi waziri mkuu aingile kati ili kuokoa fEdha za serikali kulazimika kuwalipa watu fidia baada ya kushinda kezi zao mahakamani kama ilivyotokea 2001 wakati Magufuli alipoagiza Petrol Station mjini Mwanza ibomolewe kwa madai kuwa imejengwa katika hifadhi ya barabara kumbe sio kweli hata kidoo. Serikali ililazimika kulipa fidia ya bilioni 3 kwa mmiliki wa petrol station iliyobomolewa. Baadaye ukweli halisi ulifichuka kuwa Magufuli alikuwa na chuki na mhandisi wa Jiji la Mwaza aitwaye Tizeba, chuki zao zilianzia wizarani, akahamishwa kuja Tume ya Jiji la DSM, lakini aliendela kumuandama mpaka alipohamishiwa Jiji la Mwanza ndipo kuwa mhandisi wa jiji hilo. Aliwahi hata kufanya jitihada za kujaribu jina la mhandisi huyo kufutwa katika orodha ya wahandisi waliosajiliwa hapa nchini. Katika kutimiza kiu ya chuki zake ndipom akaamuru Petrol Station hiyo ibomolewe ma Serikali kulipa Bilioni 3.

Jumamosi iliyopita ulikuwepo na mkutano wa waathirika wa eneo la Ubugo Kimara, zaidi ya watu 50 wana hati miliki, na nyumba zao tayari zimechafuliwa kwa kuweka alama ya x na "maneno bomoa mali ya tanroad" je huo si ukiukwaji wa sheria za nchi? Mtu kama huyu unaweza kusema anafuta sheri kweli? Kwani magufuli anatumika serikali ipi na ni serikali ipi iliyowapatia wananchi hao hati miliki?

Ibara ya 2 ya sheria ya barabara ya 1967 inatamka wazi wazi kuwa hifadhi ya barabara zote kuu (trunk roads) hapa nchini itakuwa futi 75 au mita 22.86 kila upande sawa na futi 150 au mita 45 pande zote mbaiuli. Ibara ya 27 ya kanuni za sheria ya barabara ya 2007 zilizopitishwa kupita tangazo la serikai na 21 la tar 23 januari 2009 inatamka kuwa upana wa chini kabisa wa "lane" moja ya barabara kuu hapa nchin utakuwa si chini ya ni mita 3.25. Hivyo eneo la hifadhi ya barabara la mita 45 lina uwezo wa kuzalisha lane 14; lane 7 za kwenda upande mmoja na lane 7 za kwenda upande mwingine. Nitajie barabar gani hapa nchini imewahi kutumia na kumaliza upana huo uliotengwa kiasi cha magafuli kuwavamia watu walioko mita 120 kutoka katakati ya barabara? Hivyo ni propaganda kudai kuwa msongamano wa magari unasababsihwa na watu kujenga katika hifadhi ya barabara.

Kifungu cha 15 na 16 cha sheria ya aradhi namba 5 ya 1999 vinatamka kuwa ugawaji wa ardhi uliofanyikia wakati wa operesheni vijiji ni halali (soma attachement) hivyo sheria ya barabara ya 1967 anayotumia magufuli mwaka 2001 hadi 2010 imeshafutika na haiapo kabisa. Maaufuli anatakiwa kwanza kujenga lane 14 katika hifadhi ya barabara iliyopo ndipo aje kuwaingilia walioko nje ya eneo hilo. Kwa hali hii utagundua kuwa mambo anayoyafanya magufuli ni matokeo ya kukurupuka kwake katika yote hamshirikishi ofisi ya waziri mku, wizara zingine, ngazi za mkoa, wilaya, manispaa, serikali za mitaa


PINDA AMECHUKUA MAAMUZI HAYO KWA KUZINGATIA YAFUTAYO:
Governments' Obligations to Ensuring the Human Right to Freedom from Forced Eviction

What provisions of human rights law guarantee everyone the Human Right to Freedom from Forced Eviction?

Includes excerpts from the Universal Declaration of Human Rights, the International Covenant on Economic, Social and Cultural Rights, the International Covenant on Civil and Political Rights, the Convention on the Elimination of All Forms of Discrimination Against Women, the Convention on the Elimination of All Forms of Racial Discrimination, and the Convention on the Rights of the Child.

"Everyone has the right to a standard of living adequate for the health and well-being of himself and his family, including food, clothing, housing and medical care and necessary social services, and the right to security in the event of unemployment, sickness, disability, widowhood, old age or other lack of livelihood...."
-- Universal Declaration of Human Rights, Article 25

"The States Parties ... recognize the right of everyone to an adequate standard of living for himself and his family, including adequate food, clothing and housing, and to the continuous improvement of living conditions...."
-- International Covenant on Economic, Social and Cultural Rights, Article 11

"Everyone shall have the right to freedom of association .... All persons are equal before the law and are entitled without any discrimination to the equal protection of the law...."
-- International Covenant on Civil and Political Rights, Articles 22 and 26

"Everyone shall have the right to freedom of association .... All persons are equal before the law and are entitled without any discrimination to the equal protection of the law...."
-- International Covenant on Civil and Political Rights, Articles 22 and 26

"States Parties shall take all appropriate measures to eliminate discrimination against women in rural areas ... to ensure ... the right ... to enjoy adequate living conditions, particularly in relation to housing, sanitation, electricity and water supply, transport and communications...."
-- Convention on the Elimination of All Forms of Discrimination Against Women, Article 14

"States Parties undertake to prohibit and to eliminate racial discrimination ... and to guarantee the right of everyone, without distinction as to race, colour, or national or ethnic origin, to equality before the law, ... in the enjoyment of ... the right to housing...."
-- Convention on the Elimination of All Forms of Racial Discrimination, Article 5

"States Parties recognize the right of every child to a standard of living adequate for the child¹s physical, mental, spiritual, moral and social development.... States Parties ... shall take appropriate measures to assist parents and others responsible for the child to implement this right and shall in case of need provide material assistance and support ..., particularly with regard to nutrition, clothing and housing."
-- Convention on the Rights of the Child, Article 27

sijakuelewa hapa!
sheria ya 1999 ina ifutaje ya 2001 na ya 2010?
au mie naisoma toka chini kwenda juuu???
 
Ningekuwa magufuli ningeshaandika barua kwa raisi kuomba kustep down.
 
Ningekuwa magufuli ningeshaandika barua kwa raisi kuomba kustep down.

Kweli kabisa, kama waziri hana mamlaka ya kusimamia sheria zilizopo mpaka apate ridhaa ya rais au waziri mkuu ni bora kutokuwepo na huyo waziri na kazi zake zikafanywa na waziri mkuu au rais.
 
sijakuelewa hapa!
Sheria ya 1999 ina ifutaje ya 2001 na ya 2010?
Au mie naisoma toka chini kwenda juuu???

sheria ni ya 1999, magufuli alimwagiza mkandarasi kuingia katika ardhi na makazi ya wananchi mita 120 pande zote mbili za barabara ni kuanda mawe na mabango yanayoonyesha mwisho wa hifadhi ya barabara mwaka 2001. Halafu mwaka 2010 akaagiza nyumba zote zilizoko ndani ya eneo hilo ziwekewe alama ya x ili zibomolewe. Mwaka 2007 ilipitishwa sheria ya mpya ya barabara namba 13 ambayo ilirejea kutaja upana uliofutwa na shwerai ya 1999. Hivyo ni hakia ya waanchi kulipwa fidia kwa kuwa sheria hiyo imewakuta kwa kuwa ile 1967 ilifutika 1999.
 
Kweli kabisa, kama waziri hana mamlaka ya kusimamia sheria zilizopo mpaka apate ridhaa ya rais au waziri mkuu ni bora kutokuwepo na huyo waziri na kazi zake zikafanywa na waziri mkuu au rais.

ANATAKIWA MKUSTEP DOWN KWA KUGEUZA SHERIA KUWA KAMA "MENU" ZA MIGAHAWA AMBAPO MLAJI HUCHAGUA CHAKULA AKIPENDACHO NA KUACHA KILE ASICHOPENDA. IWEJE MAGUFULI KAMA MBUNGE 1999 ASHIRIKI KUPITISHA SHERIA YA ARDHI NAMBA 5 YA 1999 INAYOTOA HAKI KWA WANAVIJIJI. HALAFU MWAKA 2001 NA 2010 ACHAGUE KUIPUUZA? KAMA KWLI ANATAKA HUO UPANA WOTE ALIPE FIDIA KWA KUWA SERIKALI YA JAMAHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TENA IKIONGOZWA NA HAYATI MWALIMU NYERERE ILITWAA HAYO MAENO NA KUANZISHA VIJIJI NA KUBAKIZA ENEO LA HIFADHI KUWA fUTI 75 TU KILA UPANDE KAMA INAVYOTAMKWA NA IBARA YA 2 SHERIA YA BARABARA YA 1967. SOMA SHERIA YA ARDHI YA VIJIJI ILIYOAMBATANISHWA
 
Imebidi waziri mkuu aingile kati ili kuokoa fEdha za serikali kulazimika kuwalipa watu fidia baada ya kushinda kezi zao mahakamani kama ilivyotokea 2001 wakati Magufuli alipoagiza Petrol Station mjini Mwanza ibomolewe kwa madai kuwa imejengwa katika hifadhi ya barabara kumbe sio kweli hata kidoo. Serikali ililazimika kulipa fidia ya bilioni 3 kwa mmiliki wa petrol station iliyobomolewa. Baadaye ukweli halisi ulifichuka kuwa Magufuli alikuwa na chuki na mhandisi wa Jiji la Mwaza aitwaye Tizeba, chuki zao zilianzia wizarani, akahamishwa kuja Tume ya Jiji la DSM, lakini aliendela kumuandama mpaka alipohamishiwa Jiji la Mwanza ndipo kuwa mhandisi wa jiji hilo. Aliwahi hata kufanya jitihada za kujaribu jina la mhandisi huyo kufutwa katika orodha ya wahandisi waliosajiliwa hapa nchini. Katika kutimiza kiu ya chuki zake ndipom akaamuru Petrol Station hiyo ibomolewe ma Serikali kulipa Bilioni 3.

Jumamosi iliyopita ulikuwepo na mkutano wa waathirika wa eneo la Ubugo Kimara, zaidi ya watu 50 wana hati miliki, na nyumba zao tayari zimechafuliwa kwa kuweka alama ya x na "maneno bomoa mali ya tanroad" je huo si ukiukwaji wa sheria za nchi? Mtu kama huyu unaweza kusema anafuta sheri kweli? Kwani magufuli anatumika serikali ipi na ni serikali ipi iliyowapatia wananchi hao hati miliki?

Ibara ya 2 ya sheria ya barabara ya 1967 inatamka wazi wazi kuwa hifadhi ya barabara zote kuu (trunk roads) hapa nchini itakuwa futi 75 au mita 22.86 kila upande sawa na futi 150 au mita 45 pande zote mbaiuli. Ibara ya 27 ya kanuni za sheria ya barabara ya 2007 zilizopitishwa kupita tangazo la serikai na 21 la tar 23 januari 2009 inatamka kuwa upana wa chini kabisa wa "lane" moja ya barabara kuu hapa nchin utakuwa si chini ya ni mita 3.25. Hivyo eneo la hifadhi ya barabara la mita 45 lina uwezo wa kuzalisha lane 14; lane 7 za kwenda upande mmoja na lane 7 za kwenda upande mwingine. Nitajie barabar gani hapa nchini imewahi kutumia na kumaliza upana huo uliotengwa kiasi cha magafuli kuwavamia watu walioko mita 120 kutoka katakati ya barabara? Hivyo ni propaganda kudai kuwa msongamano wa magari unasababsihwa na watu kujenga katika hifadhi ya barabara.

Kifungu cha 15 na 16 cha sheria ya aradhi namba 5 ya 1999 vinatamka kuwa ugawaji wa ardhi uliofanyikia wakati wa operesheni vijiji ni halali (soma attachement) hivyo sheria ya barabara ya 1967 anayotumia magufuli mwaka 2001 hadi 2010 imeshafutika na haiapo kabisa. Maaufuli anatakiwa kwanza kujenga lane 14 katika hifadhi ya barabara iliyopo ndipo aje kuwaingilia walioko nje ya eneo hilo. Kwa hali hii utagundua kuwa mambo anayoyafanya magufuli ni matokeo ya kukurupuka kwake katika yote hamshirikishi ofisi ya waziri mku, wizara zingine, ngazi za mkoa, wilaya, manispaa, serikali za mitaa


PINDA AMECHUKUA MAAMUZI HAYO KWA KUZINGATIA YAFUTAYO:
Governments' Obligations to Ensuring the Human Right to Freedom from Forced Eviction

What provisions of human rights law guarantee everyone the Human Right to Freedom from Forced Eviction?

Includes excerpts from the Universal Declaration of Human Rights, the International Covenant on Economic, Social and Cultural Rights, the International Covenant on Civil and Political Rights, the Convention on the Elimination of All Forms of Discrimination Against Women, the Convention on the Elimination of All Forms of Racial Discrimination, and the Convention on the Rights of the Child.

"Everyone has the right to a standard of living adequate for the health and well-being of himself and his family, including food, clothing, housing and medical care and necessary social services, and the right to security in the event of unemployment, sickness, disability, widowhood, old age or other lack of livelihood...."
-- Universal Declaration of Human Rights, Article 25

"The States Parties ... recognize the right of everyone to an adequate standard of living for himself and his family, including adequate food, clothing and housing, and to the continuous improvement of living conditions...."
-- International Covenant on Economic, Social and Cultural Rights, Article 11

"Everyone shall have the right to freedom of association .... All persons are equal before the law and are entitled without any discrimination to the equal protection of the law...."
-- International Covenant on Civil and Political Rights, Articles 22 and 26

"Everyone shall have the right to freedom of association .... All persons are equal before the law and are entitled without any discrimination to the equal protection of the law...."
-- International Covenant on Civil and Political Rights, Articles 22 and 26

"States Parties shall take all appropriate measures to eliminate discrimination against women in rural areas ... to ensure ... the right ... to enjoy adequate living conditions, particularly in relation to housing, sanitation, electricity and water supply, transport and communications...."
-- Convention on the Elimination of All Forms of Discrimination Against Women, Article 14

"States Parties undertake to prohibit and to eliminate racial discrimination ... and to guarantee the right of everyone, without distinction as to race, colour, or national or ethnic origin, to equality before the law, ... in the enjoyment of ... the right to housing...."
-- Convention on the Elimination of All Forms of Racial Discrimination, Article 5

"States Parties recognize the right of every child to a standard of living adequate for the child¹s physical, mental, spiritual, moral and social development.... States Parties ... shall take appropriate measures to assist parents and others responsible for the child to implement this right and shall in case of need provide material assistance and support ..., particularly with regard to nutrition, clothing and housing."
-- Convention on the Rights of the Child, Article 27

Na wewe ni mmoja wao. ili maendeleo yaje ni lazima watu waumie hapo wa kuwajibishwa ni wale waliotoa vibali.
 
WAKATI MWINGINE HAMNA SABABU YAOYOTE YA KUNGOJA KUAMBIWA BORA UJISOMEE MWENYEWE:-Kifungu cha 15 na 16 cha sheria ya aradhi namba 5 ya 1999 vinatamka kuwa ugawaji wa ardhi uliofanyikia wakati wa operesheni vijiji ni halali (soma attachement) hivyo sheria ya barabara ya 1967 anayotumia magufuli mwaka 2001 hadi 2010 imeshafutika na haipo kabisa. Maaufuli anatakiwa kwanza kujenga lane 14 katika hifadhi ya barabara iliyopo ndipo aje kuwaingilia walioko nje ya eneo hilo. Kwa hali hii utagundua kuwa mambo anayoyafanya magufuli ni matokeo ya kukurupuka kwake katika yote hamshirikishi ofisi ya waziri mku, wizara zingine, ngazi za mkoa, wilaya, manispaa, serikali za mitaa

Hujaelewa tu unajitetea kwa kuwa kibanda chako kinahusika tu kwenye ubomozi lakini sheria lazima ifwatwe hata kwa serikali kulipa fidia .
 
na wewe ni mmoja wao. Ili maendeleo yaje ni lazima watu waumie hapo wa kuwajibishwa ni wale waliotoa vibali.

hapa hakuna cha kibali hoja ni kuwa wananchi wanalindwa na sheria ya ardhhi ya vijiji namba 5 ya 1999, achilia mbali magufuli anayedai kutekeleza kwa kutumia vikanuni tu? Tatizo lenu mkishamsikia magufuli kasema basi mnaona kama vile mungu kasema, ndio maana akadai kuwa mabango yaliyoko katika road reserve yanasababisha ajali na kuacha magari yanayotelekezwa barabarani mabayo watu huingia nyuma kila siku. Jitahidi usome sheria mwenyewe sio kumsikiliza magufuli.
 
hivi nyie bado mnawaza tu kuwa hii nchi ina rais.mi naona hakuna kitu kabisa ni malolosa tu
 
Back
Top Bottom