Jeff
JF-Expert Member
- Sep 26, 2009
- 1,293
- 199
Mmh hizi dawa nyingine jamani..si mlisikia ya yule MC wa moshi aliyefia kifuani kwa mke wa mtu baada ya kukamia gemu akapiga konyagi za kutosha ili mtarimbo usilale dorooo.
hakuna hiyo,umeshaamiwa kuwa yule alipewa style ya pekee,ndio iliyomkatisha pumzi yake! yule dada alikuwa kiboko, ukitaka kujua style yenyewe muulize nguli,Geoff na xpin watakuambia