yegomwamba
Member
- Dec 31, 2009
- 92
- 1
Nina demu wangu niko nae kwa mwaka wa pili sasa. siku za karibuni amenijia na suala jipya kiasi ananichanganya. Ni mara ya tatu sasa kila ninapotaka kummega anadai hajisikii hamu, mwanzo nilidhani ni uchovu wa kazi zake, lakini baada ya kumsumbua sana akadai kuwa yeye hujichua kiasi ambacho anapokuwa na mimi hamu ya kufanya mapenzi huwa inatoweka. Lakini demu nampenda sana hata anachonieleza naona kama ananivunga huenda amepata jamaa lingine. Simuelewi kabisa....
mtu wangu huyuo demu kagutuka.hivi unampango gani nae,kummega tu hadi lini?inavoonekana swala la kuoa halipo moyoni mwako.kapata wa kumwowa huyo nashauri uachane nae unamwaharibia future yake.
mtu wangu huyuo demu kagutuka.hivi unampango gani nae,kummega tu hadi lini?inavoonekana swala la kuoa halipo moyoni mwako.kapata wa kumwowa huyo nashauri uachane nae unamwaharibia future yake.