Msukuma wa dar
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 1,160
- 1,191
Nimekutana na huyu dada week mbili zilizopita. Amekuwa ni mtu mwenye huzuni kila ninapokuwa nae
Hatimae Leo kanisimulia tatizo linalomsibu .Hii hali ilianza toka alipovunja ungo miaka miwili iliyopita, amehangaika sana mahospitalini na kwa wachungaji ila tatizo liko pale pale
Msaada pleasee
Hatimae Leo kanisimulia tatizo linalomsibu .Hii hali ilianza toka alipovunja ungo miaka miwili iliyopita, amehangaika sana mahospitalini na kwa wachungaji ila tatizo liko pale pale
Msaada pleasee