chriss brown
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 292
- 63
Kuna jamaa yangu hapa anahuzunika sana,ana ma gals wengi tu,wamejitahidi sana kumtumia kadi za valentine,zawadi,sms kwa wingi.Anacholalamika ni kwamba,yule anae mpenda,hajajisumbua hata kufanya chochote kama walivyofanya wenzake.Maana hii ni valentine ya 4,kila anaempenda anamfanyia vitu kama hivyo.
Anahisi kama anagundu hivi.
Anahisi kama anagundu hivi.