Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,431
We mama brian vp?unacheka wakati mwenzio anajaribu kutoa msaada?
umekwisha MP Ecoli
We mama brian vp?unacheka wakati mwenzio anajaribu kutoa msaada?
Habarini ndugu zangu,Naamini hamjambo.Unajua kuna mambo ambayo ni magumu kumwambia mtu,wakati nikiwa chuoni miaka ya nyuma huko,kunamshikaji tulikuwa darasa moja na bahati mbaya group discussion moja.Shida ya huyu jamaa nilikuwa nashindwa kumtofautisha na bata,namaanisha alikuwa na kikwapa uspime yani kama mna discuss swali 1 unaweza kuhisi ni maswali 10.Yani sielewi sijui alikuwa analala na bata au.........Halafu inaonekana yeye hajistukii na anapenda sana mambo ya kusalimia ki westen yani kukumbatia wenzie.Hivi unapokutana na mtu kama huyu unaanzaje kumwambia,nadhani hili jambo sio geni jamani mmesha kutana nalo.
Hili tatizo wanalo watu wengi, huwa hawajijui, kwa vile harufu hiyo wanayo miaka nenda rudi, hudhani ni kitu cha kawaida, yaani utamkuta mkaka/mdada yuko smart sana, na kapaka marashi ya bei sana ila nanuka kikwapa, kwa faida ya wote hakuna perfume yoyote inayoweza ua harufu ya kwapa, cha muhimu ni mtu kujua kutumia deodorant first, then marashi kwa juu hapo hutasikia kwapa la mtu
Shantel usemayo ni kweli nimewahi kuona mneguaji wa hizi bendi zenu mzipendazo anakikwapa huyo do mpaka nzi hawamsogelei nilishangaa sana huyo mdada ankwenda nchi zanje nakutembea sehem nyingi lakini ana halihii lakini sikushindwa kumueleza kwakuwa nafaham dawa nilimwambia kiurahisi tu nilimuliza dada unatatizo hili muda mrefu au ndo limeanza hakunifaham akauliza tatzo gani nikamwambia inaelekea hujajua kuna tatizo linataka kutokea bora uwahi mapema kabla halijawa kubwa nikamwambia dada yangu alikuwa nalo na akatumia ndimu na malimao kila unapooga unajisugua na ndimu makwapani hii ndio dawa pekee nyingine hakuna faida najua najua wengi watasema lakini bibi zetu walikuwa kila mwezi anajisafisha na ndim maramoja ndio. kwaushari wangu hizo dodoranti zinaongeza uchafu makwapani ukiwa mtumiaji wahivyo vitu nilazima utumie kilasiku kwa ushari bora ujisugue na ndim kila wiki maramoja na kuachana na mchanganyiko wa madawa ya biashara nakuwa necha hutakuwa na matatizo ya kuwa na harufu kwapani mimi na ndugu zangu wote hakuna anaetumia dodoranti hata mkewangu hatumii na tupo ok