Anadai ana mimba yangu ya mwezi mmoja, nifanyeje niweze kumuhudumia bila mke wangu kujua?

Mweeeee! Am speechless
Inawezekana sio yeye alioanzisha mchezo wa tigo mamii,inawezekana mkewe ndio alimfundisha,maana nasikia wanawake wengi siku hizi kama hujapita uani wanachepuka,tena wanawake ndo wanakuwaga wa kwanza kusema eti na huku pananiwasha.
 
Ulivyokuwa unakula kavu kavu, ulitegemea nini ? Hapo ni mimba au ugonjwa, unachoshangaa nini sasa ? Ulipanda mahindi ulitegemea kuvuna mpunga ?
Halafu kwanini mnaficha kusema tangu mwanzo kama una familia.,shida inaanzia hapo...muambie mapema na ikiwezekana hata majina ya watoto muambie.
 
Mimi sioni unataka nini, labda michango ya wana mmu coz mkeo hakuna asokijua kuhusu mapato yako. Vyovyote tutakavyo kushauri itakugharimu pesa, sasa utajiteteaje? Ulivyokuwa unahonga mchepuko matumizi uliyatolea maelezo gani? Mbinu ile ulotumia wakati wa kuhonga itumie na wakati wa kulea. Biblia Inasema tamaa ikichukua mimba huzaa dhambi, dhambi ikikomaa huzaa mauti
 
Daah,mtihani mkubwa,ila linywe,siulilikoroga mwenyewe,ungekuwa umekorogewa ningekushauri ulimwage
 
Aisee wewe... yaana baada mkeo kukubania 071 umehamia kwa mchepuko na majib umesha yapata. Mungu akupe nn.. maana mshahara wa dhambi ni mauti
 
Kuna kisa nilikisoma humu ,Mama anashangaa mumuwe kuwa na watoto 9 nje ya ndoa akaishia kumuuliza mmewe ni muda gani ulikuwa unafanya hayo yote
Sasa wewe Mimba tu inakusumbua
Sky Eclat mshauri jamaa
 
Mwambie huyo dada asikutaje kwa mkeo, ila amwambie hiyo mimba ni ya Marehemu FARU JOHN,

Utakuwa umemaliza mkuu
 
Inawezekana sio yeye alioanzisha mchezo wa tigo mamii,inawezekana mkewe ndio alimfundisha,maana nasikia wanawake wengi siku hizi kama hujapita uani wanachepuka,tena wanawake ndo wanakuwaga wa kwanza kusema eti na huku pananiwasha.
Shkamo braza!:(
 
Kuna kisa nilikisoma humu ,Mama anashangaa mumuwe kuwa na watoto 9 nje ya ndoa akaishia kumuuliza mmewe ni muda gani ulikuwa unafanya hayo yote
Sasa wewe Mimba tu inakusumbua
Sky Eclat mshauri jamaa

Duh hakyanani! Hapo hujui hata pa kuanzia kuhoji bora jamaa awe na mawe kama mlalahoi watatafuta mchawi!
 
Back
Top Bottom