habari zenu wanajamvi,mimi ni mwanafunzi wa bsc economics mwaka wa tatu mzumbe,tunatakiwa kuwa field kuanzia mwezi wa kumi mpaka mwakani mwezi wa pili.nmeomba sehemu tofauti tofauti lakini kwa bahati mbaya sijafanikiwa kupata..kama kuna mwanajamvi ambaye ofisini kwake kuna nafasi naomba ani-pm tafadhali.ni muhimu sana maana usipofanya field umedisco moja kwa moja.
Natanguliza shukurani
Natanguliza shukurani