Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
msituletee ma sharobaro kwenye siasa yaani mtu akishika ugonjwa wa mtu tayari awe mbunge, ubunge na huo ukoma aloshika unahusiana vipi, hapa ndo mnapokosea wabongo sympathy zenu ndo zinazowafanya mbaki naskini mpaka leo, mtu akija mtaani akiwapa ofa ya chipsi vumbi basi anafaa kuwa mbunge. km anashika wagonjwa bila kuogopa mpelekeni muhimbili akasomee u nesi ili aendelee kuwakirimu wagonjwa atawafaa zaidi