..Kila shetani na mbuyu wake mazee. Juzi kati kala shavu kwani hujasikia kashaolewa hata mwezi hana!salama mufti!!! samahani bana...kuna mwingine alikuja anasema yule anyenyoa para sijui KINGARAME JOYCE eti naye mkali....mweeee hivi haya mambo yako hivi...
waukweli pendaeli omari peke yake wengine tupa kule.
Mbona jina lako ni la kike? Utaombaje uchumbwa kwa mwanamke mwenzako? By the way Amina ni mke wa mtu!yule dada namkubali sana,nilishaomba uchumba swala limebakia dini,nani abadilishe mimi au yeye,da!
Kumbe kuna watu huwa wanaangalia TBC!!! hakuna ninae mjua huko najua wote ni ccm tu. hameni, mbona TV stations za maana zipo nyingi tu?
Kingalame kaolewa?yule muone kwenye tv tu!Live hutaamini!kweli Tv zinaficha mengi.....!!cowbery zile...kwel shetani na mbuyu wake[/QUOTE ]
Je jane john, mkubwa ka bomu!
hakutokwa na machozi kwajili ya kuolewa isipokuwa alitokwa machozi ya furaha baada ya wenzake kumpatia zawadi ambayo hakuitegemeaInaelekea amekaa muda mrefu bila kuolewa kwani alitokwa na machozi kwenye sendoff yake.ila kiukweli dada ni jembe la ukweli.
Kumbe kuna watu huwa wanaangalia TBC!!! hakuna ninae mjua huko najua wote ni ccm tu. hameni, mbona TV stations za maana zipo nyingi tu?