vyuku
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 503
- 85
Hamna lolote !mnafiki tu.
hata ukimchukia mdada yupo juu na anasonga mbeleeeeee
Hamna lolote !mnafiki tu.
kama ndo hivyo ana muda mfupi wa kuishi duniani, kumbe mnafiki hivyo![/QUOTE
wacha kumtabiria mwenzako mauti wewe,kwani wewe unajua utaishi hd lini?mdada yupo juu km mnakereka poleni lkn jamaa juuuu na mtamwita majina mengi tu lkn yanamuendea
mkuu, mbona unamwita dada wa watu Gubeli?Gubeli limeolewa?
...Kindly Xplain Yourself Please!...Wewe ROSEMARIE Ukamtaka Uchumba AMINA MOLEL na inavyoelekea alikukubali ila tatizo likawa Dini tu...??? well, well, well...:confused2: :confused2:
Ukweli huyu dada ni mtendaji mzuri na anajituma sana,hana fitna lazini
wewe nae acha uzushi wako, mwenzio mke wa mtu huyo...yule dada namkubali sana,nilishaomba uchumba swala limebakia dini,nani abadilishe mimi au yeye,da!