Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
Habari za mwaka mpya ndugu zangu!!
Ushauri wenu ni muhimu sana katika hili suala langu. Mimi ni mtumishi wa umma katika ofisi fulani. Hapa ofisini kuna jamaa mmoja(hapa nimuite X) ambaye ni wa kabila langu na the way tunavyo heshimiana amekuwa ni kama ndugu yangu. Vile vile kuna mdada mmoja ambaye mimi na yeye(huyo dada) mwanzoni tulikuwa tunaheshimiana kama kaka na dada, lakini siku zilivyozidi kupita ikatokea tukaanzisha mahusiano ya kimapenzi(ingawa honestly, mpaka sasa hatujawahi kufanya sex na huyo dada). Kuna siku tulipanga tukutane kwa ajili ya sex, sijui ni bahati nzuri au ni bahati mbaya nikapata safari ya kwenda Dar hivyo tukaahirisha. Tukapanga tena bahati mbaya au nzuri akaja bosi wetu kutoka makao makuu, tukawa bize kupita maelezo hivyo tena tukaahirisha.
Jana tukaenda nae(huyo mdada) lunch, wakati tukiwa lunch akanieleza kuwa kuna kitu anataka kuniambia. Nilipomruhusu aniambie akasema kuwa ataniambia siku tutakapo sex kwa mara ya kwanza. Nilipomsihi anieleze hicho kitu, akaniambia kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na huyo jamaa yangu (X).
Naombeni ushauri juu ya hili, nimuache huyo mdada au niendelee nae(maana uhusiano wetu umefika mbali sana). na ninahofu iwapo tutaendelea na mpango wetu X akibaini urafiki wetu ambao mimi ninau-value sana utakufa.
UNGEKUWA WEWE UNGEFANYAJE??
Ushauri wenu ni muhimu sana katika hili suala langu. Mimi ni mtumishi wa umma katika ofisi fulani. Hapa ofisini kuna jamaa mmoja(hapa nimuite X) ambaye ni wa kabila langu na the way tunavyo heshimiana amekuwa ni kama ndugu yangu. Vile vile kuna mdada mmoja ambaye mimi na yeye(huyo dada) mwanzoni tulikuwa tunaheshimiana kama kaka na dada, lakini siku zilivyozidi kupita ikatokea tukaanzisha mahusiano ya kimapenzi(ingawa honestly, mpaka sasa hatujawahi kufanya sex na huyo dada). Kuna siku tulipanga tukutane kwa ajili ya sex, sijui ni bahati nzuri au ni bahati mbaya nikapata safari ya kwenda Dar hivyo tukaahirisha. Tukapanga tena bahati mbaya au nzuri akaja bosi wetu kutoka makao makuu, tukawa bize kupita maelezo hivyo tena tukaahirisha.
Jana tukaenda nae(huyo mdada) lunch, wakati tukiwa lunch akanieleza kuwa kuna kitu anataka kuniambia. Nilipomruhusu aniambie akasema kuwa ataniambia siku tutakapo sex kwa mara ya kwanza. Nilipomsihi anieleze hicho kitu, akaniambia kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na huyo jamaa yangu (X).
Naombeni ushauri juu ya hili, nimuache huyo mdada au niendelee nae(maana uhusiano wetu umefika mbali sana). na ninahofu iwapo tutaendelea na mpango wetu X akibaini urafiki wetu ambao mimi ninau-value sana utakufa.
UNGEKUWA WEWE UNGEFANYAJE??