shukuru Mungu amekutua huo mzigo...epuka kudate vijana choka mbaya ,ambao wewe ndo unawasaidia ..hawana shukrani..trust me utapata mtu wa ukweli emotionaly na economicaly....
Which fairness do you need? ...Tutawatenda hadi mchakae... Chezeya wanaume weye..
Jamani mimi nashindwa kuelewa....vipi unamhonga mwanaume............................hata kama choka mbaya! Penzi umpe bure, umhonge pesa, umnunulie nguo na mazagazaga mengine. Halafu uje JF ulielie, huoni kama huyo alikuwa tapeli, shukuru kama umeondokana nae.
Just try to think otherwise, vitu ambavyo vibaya you didn't see that time, utaona kakupunguzia mashuzi
ukishaona mwanaume anaweka shida zake mbele kimbia...mwanaume unamnunulia hadi chupi? angekuwa mwanaume kweli asingekuacha ...huyo sio mtu tena shukuru huo mzigo umekutoka ungejuta maishani...jaribu no mbili na tatu utakuja kuona jinsi ulivokuwa unajitesa bila sababu...
mimi sio kwamba napenda mtu tajiri but mwanaume wa kunitegemea siwezi....nashukuru pia moyo wangu ushakufa ganzi..maana wanadai moyo mdanganyifu....
alikua ana ax 4 it mara chache sana and kuhusu nguo t was like suprise, actual he wasnt a bad boy na ndio maana kaniacha kistaarabu bt nashndwa kuelewa alitaka nini cz nlikua honest and i had true love plus was my first guy.
find some one with a bigger size
trust me..you will forget him soon lol
alikua ana ax 4 it mara chache sana and kuhusu nguo t was like suprise, actual he wasnt a bad boy na ndio maana kaniacha kistaarabu bt nashndwa kuelewa alitaka nini cz nlikua honest and i had true love plus was my first guy.
i had true love plus was my first guy.
kwani kuwa 'your first guy' kunabeba significance gani kama zama hizi za utandawazi? unakuta binti mpaka anaolewa au anapata mwenza wa ku-cohabit naye anakuwa tayari keshaachia kwa watu 20, sasa kwa nini usikitike na huyo wa kwanza anyway?
NB: he was my first guy, i neva cheated on him, i am 24 and half.
Duuh umeachwa halafu you talk gud about the guy, wanaume ni wasanii...amepata alichokitaka amesepa. Lazima ujifunze to see the sign, ushawahi kuona wapi mwanaume akitongoza anakuwa hana ustaarabu au hayuko honest........
nimelia cz i was at climax ov his sweet luv, i neva though i wil one day apart him..