RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,878
- 5,424
Kwa wale wanaopenda kuangalia Kipindi cha CLOUDS TV Kiitwacho TAKE ONE. Nadhani Mtakumbuka wiki iliyopita Kuna Binti alienda Clouds TV akatoa Matatizo yake lukuki Mpaka Na Machozi Juu mpaka Nikamwonea huruma na Kutoa Laana kwa Waliomtendea Uchafu Ule...kubakwa,yeye ni yatima na mengneyo
NYUMA YA PAZIA
Kumbe Binti Yule katoroka Nyumbani hajaaga kaenda Dar kutafuta Maisha ya Uigizaji ili Atoke na kuwa Super-star...huyo mtoto Analelewa na Baba Mdogo wake.
Sasa baada ya Mtoto yule kwenda kwenye Luninga ndo Ndugu zake wakamwona ndo Kuja Kusema Ukweli wote na Kufichua Maovu yake Yote.. Story ni Ndefu
BUT SIKILIZA REKODI HII
Inauma sana kumsomesha
Mtoto halaf anakuwa hivi...Anatukna hadi Familia
NYUMA YA PAZIA
Kumbe Binti Yule katoroka Nyumbani hajaaga kaenda Dar kutafuta Maisha ya Uigizaji ili Atoke na kuwa Super-star...huyo mtoto Analelewa na Baba Mdogo wake.
Sasa baada ya Mtoto yule kwenda kwenye Luninga ndo Ndugu zake wakamwona ndo Kuja Kusema Ukweli wote na Kufichua Maovu yake Yote.. Story ni Ndefu
BUT SIKILIZA REKODI HII
Inauma sana kumsomesha
Mtoto halaf anakuwa hivi...Anatukna hadi Familia