Mkuu unahaki ya kuumia mtu mda wote kimya kama kafiwa.
Jaribu kuwa karibu zaidi na ikibidi kuwa mwema kupitiliza mtoe aut mkiwa na marafiki hasa hasa wale anaowakubari yeye.
Mambo ya mabinti kuwa abused na baba zao yapo kwa wingi sana.
Mimi nina mdogo wangu wa kike (mtoto wa baba mdogo). Sasa baba mdogo akaja kufariki, wakati huo, huyo binti ana miaka kama 10 hivi.
Sasa baada ya hapo mwenendo wake wa shule haukuwa mzuri sana. Binti akawa hataki kusoma, yeye ni mapenzi na mabwana kwa kwenda mbele.
Mzee wangu akaingilia kata kutaka kujua kwa nini hali hipo hivyo.
Baadae huyo binti akaja ku confess kuwa alikuwa anafanya mapenzi na baba mdogo tokea akiwa na miaka 6.
Msaidie kutembelea nyumba za ibada haswa semina za neno la Mungu ipo siku atapona katika hilo sononeko lake
Na huyo baba mdogo alikufa kwa UKIMWI.Mungu saidia isiwe hivyo tutakufa kihoro ..
Huyo baba yake hakumuabuse kweli??? Sorry labda alimbaka au kum-abuse sexually kwa namna yoyote na fimbo akampiga....
Au mtu /watoto walimuabuse na baba hakumsikiliza na kumchapa
Kuna tatizo mahali
ni vigumu sana kuamini kama mtoto tabia yake ilichange ndani ya siku moja tena zaidi ya miaka 25 iliyopita bila kuusisha kunyanyaswa kingono/kisaikolojia but ni vigumu zaidi kuhamini maana baba yake mzazi ndiye aliyehusika kumchapa
sitaki kuhamini icho nilichokiandika juu ila ninachoamini dada yako ni MBINAFSI na hayo ndio maisha aliyochagua yanayompa raha
she is matured enough to decide what is good and what is bad for her..ni kwamba mmechelewa sana
Kama bikra nitajitahidi mpaka nimtindueUtamuweza mkuu.,
wenzio huwa wakati mwengine tunakaa naye kwa tahadhari japo ni mzaliwa wetu,haeleweki wala kuingilika.
ndio kweli.Kweli?
Tumechelewa kivipi mkuu..
Hatujui sababu muhusika ameshindwa kulifungua ushauri akipata faraja na kusikia maneno mazuri anaweza kusema kipi kilimsibu hapo inaonekana kuna kubwa kuliko hiko kichapo alichopewaUnadhani sononi la nini..?
Kuchapwa ni kawaida mbona kwa mtoto!
Mzee hakuwa mkorofi ,sijui tu labda nini mkuu
ndo hapo tunashindwa kumuelewa ,miaka mitano ndo nongwa iwe mpaka leo?
...teh hee hee...'kesi' yangu inafia hapa rasmi,f@ggoooottttt!...just hoped you'd be a man!Mungu saidia isiwe hivyo tutakufa kihoro ..
...teh hee hee...'kesi' yangu inafia hapa rasmi,f@ggoooottttt!...just hoped you'd be a man!
..next time chagua battles zako carefully...keyboard isikuzuzue!
..uguza pole
..ahsanta!Shida yako. !
Una zuzuka wewe kiasi hueleweki kama...
afu naona unawaya waya kama umechomekwa
Bado unayo tu.. mbona una gubu wewe dadapoa?
Utulivu zero!
Hujiamini umetoka nayo kule ukaja leta huku...
vapours!