Amana Benki ya Kiislamu yaanzishwa Tanzania

Yeah hili ni jambo ambalo lilikuwa linasubiriwa kwa muda; nafahamu Dr. Idris na Dr. Dau wameshiriki vilivyo katika kufanikisha ujio wa benki hii kitu. Nadhani Dr. Idris ana nafasi katika utawala. Ni mafanikio ya aina yake nchini japo tayari kuna benki nyingine za kawaida ambazo zinatoa pia huduma kama hii sijui ushindani utakuwaje sasa.
Dr. Idris Rashid, ni Managing Director.......
 
Niagizieni ilipo benki niende nkajaribu bahati yangu ya mkopo bila riba.
Mi mkristo, ntapewa kipaumbele?
Ipo jengo jipya Golden Jubilee towers....tia timu pale...sijajua kama ukipewa mkopo unarudisha kama ulivyo...no riba...kama ni hivyo na mie nitaenda kopa...



Chuo cha Morogoro kinaendelea vema na ndio chuo pekee Tanzania yenye best ratio lecturers vs. students na wako qualified (PhD) holders..

Huwezi kulinganisha na tumain yenye walimu wenye sifa ya mwalimu wa sekondary..wao wanajali pesa tu..huduma na elimu duni muslims are not for quantity but quality..

Banki hii kwa uwezo wa Allah itashamiri, hadi ukereke kwa wivu..acha wivu dogo kwanini unapenda wenzako kuharibikiwa na unaombee wenzako mabaya?? una nini wewe..
Data please....
 
tahadhari!
kama hii bank yetu tutaiendesha kama tulivyofanya kwa taasisi nyingine mfano ile shule ya al haramain.................
tutakua tumejiua!
Tujaribu kuwa makini kwa hilo

Bingo......yu r as smart as an automatic watch...............................marhabaaa sasa tuwachukue na bakwata wetu hapo waje watuchanganye na watukafini huku tunajiona maana sijui tuna sisi ????

Professionalism shuld be left alone (given chance) ili mambo yanyooke hapo sio kila mwenye sijda awe member wa bodi......plz...plz....plz....hili lifanyike kwa umakini na utaalamu wa hali ya juu la sivyooo tutabaki kulaumu na kuhesabu ya wasio waislamu as if wao wanaishi kwenye akili zetu na sisi tunaishi kwenye nyayo zao

Wahadha- assalaam
 
Kwa taarifa nilizo nazo za uhakika, Benki hii makao makuu yake yako PPF Tower 3rd Floor kwa muda na mwezi March,2012 itahamia jengo la jirani PSPF 1st floor. imeanza na branch moja kariako na baadae January itafungua Nyerere Road karibu na Quality Plaza na march PSPF chini. Unaweza kwenda kufungua account moja kwa moja Kariakoo au Makao makuu.

Jinsi inavyofanya kazi, ni benki kwa ajili ya wote, ni benki inayofuata Sharia Priciples, tofauti kubwa na benki zingine ni kutokutoza riba na inashughulika na biashara halali (ina maana kampuni kama TCC, Breaweries, nazinginezo kama hizo hazitapata nafasi kwenye benki hii) Tofauti naainisha kama ifuatavyo

Deposits
Depositors (Fixed deposit & Savings) hawatalipwa interest, bali watashare na benki mapato yatokanayo na kufinance miradi mbalimbali kwa uwiano utakokubaliana mwanzo kama 70% kwa 30% etc.

Mikopo
Mteja ataleta proposal ya chochote anachotaka kufanya ila kiwe halali, then bank inatanunua na kumuzia kwa faida, kwa mfano wataka gari toka Japani, utapeleka profoma invoice bank na benki itanunua gari hilo likishafika bandarini na kukombolewa utauziwa kwa faida na kuanza lipa benki kwa instalment,kama nyumba benki italipa contractors, kama hardware, benki italipa unako agiza nk nk, cha muhimu hapa hupewi cash, (maana wanaopewa cash wanafanyia biashara tofauti na walivoombea,matokeo kudefault.
 
Hapa wewe hupewi mkopo mkuu sa per islamic codes..

Wewe unatakiwa ununuliwe hicho kifaa unachohitaji ...(benki inanunua then)

Kama benki itakuwa na product za aina hiyo wanakuuzia (wanachukua faida yao kama mfanyabiashara mwingine yeyote)

Mkopo unatolewa kama biashara (write up) ambayo benki na wewe mtagawana risks (pre-determined)

Hapo kuna kuwa hakuna riba ila kuna profit (loss) ambayo ndio principles of ISLAM

Unlike conventional bank ambapo bank haigawani risk na mteja amepata amekosa wenyewe wanataka interest yao

any other question?

Hilo ndio jibu sahihi
 
Back
Top Bottom