Amana Benki ya Kiislamu yaanzishwa Tanzania

Hapa wewe hupewi mkopo mkuu sa per islamic codes..

Wewe unatakiwa ununuliwe hicho kifaa unachohitaji ...(benki inanunua then)

Kama benki itakuwa na product za aina hiyo wanakuuzia (wanachukua faida yao kama mfanyabiashara mwingine yeyote)

Mkopo unatolewa kama biashara (write up) ambayo benki na wewe mtagawana risks (pre-determined)

Hapo kuna kuwa hakuna riba ila kuna profit (loss) ambayo ndio principles of ISLAM

Unlike conventional bank ambapo bank haigawani risk na mteja amepata amekosa wenyewe wanataka interest yao

any other question?

Topical kwenye hiyo nyekundu. Je mtu akikopa pesa kwa ajili ya project fulani kwa mfano unakopa kwa ajili ya kilimo, unatumia pesa karibu yote kulimia, kupandia na kupalilia kisha jua kali ikapiga mazao yote yakakauka. Hapo benki inachukkua 100 % risk au inakuwaje kwenye hali kama hiyo?
 
Q&A: Islamic finance


Gordon Brown is today to make a keynote speech to the Islamic Finance and Trade Conference with the aim of promoting London as a key centre for Islamic finance. Sharia law lays out the way in which Muslims should manage their money. We outline the main rules that sharia-compliant funds and mortgages have to adhere to.


Traditional UK bank accounts and mortgages do not comply with Islam's sharia law, so in the past Muslims faced a big decision - compromise their beliefs or look for alternative ways to manage their finances. Now, however, some organisations offer financial services tailored to suit the two million muslims living in the UK.

What are the main rules for Islamic finance?

The rules lie in the principles of Islam's shariah law, taken from the Qur'an and the Sunnah, (the way) referring to the way in which the prophet Muhammad lived his life.

Central to Islamic finance is the fact that money itself has no intrinsic value, it is simply a medium of exchange. Each unit is 100% equal in value to another unit of the same denomination and you are not allowed to make a profit by exchanging cash with another person. A Muslim is not allowed to benefit from lending money or receiving money from someone.

This means that earning interest (riba) is not allowed. To comply with these rules, interest is not paid on Islamic savings or current accounts or applied to Islamic mortgages.

How do the banking arrangements work for customers?

There are several Islamic financial instruments:

· Ijara - works as a leasing arrangement: the bank buys something for a customer and then leases it back to them. Different forms of leasing are permissible, including those where a portion of the instalment payment goes toward the final purchase.


· Murabaha - works by the bank supplying specific goods for resale to the customer. This method incorporates a mutually agreed contract and a mutually negotiated margin.

· Musharaka - is a joint venture in which the customer and bank contribute to the capital of the operation and agree to share the returns (as well as the risks) in proportions agreed to in advance.


How do the banks make money?

Banks can profit from the buying and selling of approved goods and services. The principal means of Islamic finance are based on trading, and it is essential that risk be involved in any trading activity, so banks and financial institutions will trade in sharia-compliant investments with the money deposited by customers, sharing the risks, and the profits between them.

Islamic banks are structured so that they retain a clearly differentiated status between shareholders' capital and clients' deposits in order to make sure profits are shared correctly.


Although they cannot charge interest, the banks can profit from helping customers to purchase a property using a ijara or murabaha scheme. With an ijara scheme the bank makes money by charging the customer rent; with a murabaha scheme, a price is agreed at the outset which is more than the market value. This profit is deemed to be a reward for the risk that is assumed by the bank.

There are firm laws governing the types of business the banks can trade with. There should be absolutely no investment in unsuitable businesses, including those involved with armaments, pork, tobacco, drugs, alcohol or pornography.

Similar to ethical banking, then?

There is some common ground. Some of the tenets of Islamic banking will appeal to anyone, Muslim or otherwise, who agrees with the underlying principles of equitable distribution for everyone, the ideals of fair trading, spending of wealth judiciously, and well-being of the community as a whole. These principles result in an exacting ethical stance relating to investment.

What choices do people have?

The 1.8 million plus Muslims living in the UK can now manage their money on a day-to-day basis without compromising their deeply held convictions. Lloyds TSB offers a current account, as does HSBC through its Amanah Finance division, together with a home-financing scheme. However, although money is held separately to that managed by the rest of the organisation, these are large institutions that are not wholly compliant with sharia principles.

The Islamic Bank of Britain, which opened in 2004, operates entirely in accordance with sharia law. It has branches in London, Leicester, Birmingham and Manchester and offers a range of savings accounts, a current account and financing deals.

Homebuying products, credit or charge cards and other services will be available later this year. The managing director, Michael Hanlon, says its products are competitively priced and "equivalent to those available in a conventional bank".
The Ahli United Bank specialises in home-financing schemes. As well as helping Muslims buy a property to live in, it now offers sharia-compliant funding for buy-to-let property investments.


i hope itakuwa imejibu maswali yenu!! ligue iishe .. labda kuna mna mengine mliyo dhamiria...



hii ya uk kukumbatia benki hii si suala la kidini bali la uchumi wao, nao ni kuvutia more foreign deposit kuliko zolizoko nchini mwao nazo ni za kutoka katika familia za kitajiri za bara arab, sasa si je tuna vutia hao wawekezaji?, wao ukiangalia ratio ya makafir na waislamu ni ngapi mpaka iwe ni tishio kwao? ni wazi wameisha piga mahesabu ya faida na hasara, sisi ratio yetu ni i ipi 35% ? 50% ? nk
 
Topical kwenye hiyo nyekundu. Je mtu akikopa pesa kwa ajili ya project fulani kwa mfano unakopa kwa ajili ya kilimo, unatumia pesa karibu yote kulimia, kupandia na kupalilia kisha jua kali ikapiga mazao yote yakakauka. Hapo benki inachukkua 100 % risk au inakuwaje kwenye hali kama hiyo?

Risk sharing rates ni pre-determined mnakubaliana kabla say bank 30% wewe 70% au vinginevyo kama ambavyo wataalum wa benki watashauri kutegemeana na project..
 
yeah im there already,ni bora nilambwe riba lakini im safe!hivi unadhani hiyo bank yako ya kiislam inajiendesha bure?no way lazima kuna vitu unawalipa bila kujijua otherwise isingekuwepo.nakupa pole tu kujiingiza kwenye bank ya *******

Sawa mkuu wewe una akili endelea kulambwa riba kuna tatizo, tuache sisi twende kwenye benki yetu kuna tatizo? si ndio uhuru yanini kuitana wajinga au werevu mkuu..
 
hii ya uk kukumbatia benki hii si suala la kidini bali la uchumi wao, nao ni kuvutia more foreign deposit kuliko zolizoko nchini mwao nazo ni za kutoka katika familia za kitajiri za bara arab, sasa si je tuna vutia hao wawekezaji?, wao ukiangalia ratio ya makafir na waislamu ni ngapi mpaka iwe ni tishio kwao? ni wazi wameisha piga mahesabu ya faida na hasara, sisi ratio yetu ni i ipi 35% ? 50% ? nk

siyo kweli, ni swala la both iman na haki za waumini wa kiislam uingereza

Waingereza hawana wivu wa kijinga kwa waislamu wananchi wenzao kuliko wabong kila kitu chuki tu agh!
 
bora wafanye hivo vip mimi kama JAMES naruhusiwa kufungua account?????????????

Usikurupuke, soma taarifa mpaka mwisho, halafu tafuta jibu la swali lako.
Si unajua mitihani ya kiswahili na kiingereza ipo katika mtindo huo. Sasa ni wakati wa kutumia shule yako ndogo.
 
siyo kweli, ni swala la both iman na haki za waumini wa kiislam uingereza

Waingereza hawana wivu wa kijinga kwa waislamu wananchi wenzao kuliko wabong kila kitu chuki tu agh!

mkuu kweli kabisa.. mfano ka redio kamoja Iman kanawatoa povu .. ati kina vunja amani ... NBC walipoanza kutoa service ya sharia wengine wakaja na uzi Jf ati wanaachana na hiyo bank...

anyways Amana bank ndio hiyo.. na TV iman soon itakuwa hewani...


 
Hahaaaa, I said it! Lazima riba inajulikana kwa jina jingine, yaani "fixed fee!"
.......ndio maana iko post huko juu umeulizwa kama unaelewa riba na jinsi inavyofanya kazi ili kama hujui upigwe darsa ! Ukagoma, sasa hujui tofauti ya 'fixed fee na riba'
 
Nina wasi wasi kidogo na hawa jamaa zetu kama benki hii itakuwa endelevu. Kama Chuo cha Morogoro kimewashinda sijui nini kitatokea baadae possibly DECI nyingine
 
Aisee nimeipenda hiyo; nitafungua a/c huko! Ila nikienda mie Diane na kimini na kichwa wazi si nitatimulliwa?
 
Tufahamisheni, kama benki haitozi riba inaweza vipi kuendesha shughuli zake za kila siku.

Bank charges zipo kama kawaida! Riba ni pale ww utakapo hitaji kutumia amani ya bank.

Riba/intrest ni zile zile ila kwa mfumo wa kislam wanakua linient wakati wa kudai unapo default
 
Nina wasi wasi kidogo na hawa jamaa zetu kama benki hii itakuwa endelevu. Kama Chuo cha Morogoro kimewashinda sijui nini kitatokea baadae possibly DECI nyingine


Chuo cha Morogoro kinaendelea vema na ndio chuo pekee Tanzania yenye best ratio lecturers vs. students na wako qualified (PhD) holders..

Huwezi kulinganisha na tumain yenye walimu wenye sifa ya mwalimu wa sekondary..wao wanajali pesa tu..huduma na elimu duni muslims are not for quantity but quality..

Banki hii kwa uwezo wa Allah itashamiri, hadi ukereke kwa wivu..acha wivu dogo kwanini unapenda wenzako kuharibikiwa na unaombee wenzako mabaya?? una nini wewe..
 
Hiyo kiyu inawezakana tena sana mdau maana bank charges zingine zinakuwepo except riba kwa mikopo,kizuri ni kuwa sheria na taratibu nyingine za kibank zinafuatwa!
 
Back
Top Bottom