ngoja nitafute carolait mwee
kumbe mimi mzuri nikijiwezesha eeeh?
Hahahahaha huko kunatakiwa kuwe kama kulivo maana urembo wake tu umejitosheleza lol
Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
kati ya vitu ambavyo sivifagilii ni make-ups, nadhani najipenda zaidi nikiwa bila make-up.hata mimi umenione Preta!natumia vaseline tu na baby poda,kichwani nina midreads yangu baaas!
hahahhaa acha kudanganya wenzako unataka wawe na ngozi kama batiki....
mmhh basi tu kwakuwa ni tamu.. lakini haina sura... tafuteni na dawa ya kuzifanya ziwe zinabana kila wakati... kama bikra.
hao waliozizoea wakipatwa misiba wanaanzia salon ndo kulia baadae, tena kulia kwenyewe wanajua basi, lolwengine bila make up wanapendeza tu,ukizizoea sana,siku unapatwa na kama msiba,inabidi make up uiweke pembeni hapo ndio utalilia mengi,moja wapo ni kwa kutopaka hiyo make up
Hatutaki
kati ya vitu ambavyo sivifagilii ni make-ups, nadhani najipenda zaidi nikiwa bila make-up.
mara chache sana natumia, tena inakuwa ni ushabiki tu nikiwa na mashostito..........
hao waliozizoea wakipatwa misiba wanaanzia salon ndo kulia baadae, tena kulia kwenyewe wanajua basi, lol
tumieni tu my dearest, zimewekwa kwa ajili ya watu kama nyie, can't do without........ lol! naomba yasinikute hayaAcheni kutunanga basi kwani make ups zipo kwa ajili gani wajameni?
Preta... kama hiyo picha yako hapo hujapaka make up wala usipake mbona hapo unaonekana wa kuchumbia.. basi tu sijui pa kukupata
Hata kama angeweka makeup bado anaonekana mbovu tena wa kukongongoka.
Nafikiri ni wigi ndio limemletea mvutio wa kike tuwe wakweli hata Hapa Bongo Wigi limesaidia sana tena sana kwani asilimia kubwa za wanawake hawakubahatika kupata sura za kike kuingia mawigi kumewasaidia angalau wanatizamika
ha ha....hiyo sio picha yangu.....ngoja nitakuwekea yangu halisi nione kama hilo wazo la kunichumbia utakuwa nalo......
mhhh! mbona avatar yako ina make up, haujaweka foundation na angel face au ni macho yangu?? im not sure kama umepaka lipstic.tumieni tu my dearest, zimewekwa kwa ajili ya watu kama nyie, can't do without........ lol! naomba yasinikute haya
tumieni tu my dearest, zimewekwa kwa ajili ya watu kama nyie, can't do without........ lol! naomba yasinikute haya