Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Attachments
Last edited by a moderator:
hahhaha! usiombe ukakutana nao hawana izo ama ndio kaamka asubui lol! au muone johari akiwa msibani pale msiba umekolea kinoma kalia saaaaaaaaana hutaamini kama ni yy waweza zani kama ni bibi yake.Hahahaaaa! Shosti! Make up muhimu sana, hata hawa wadada wa mujini wengi wasingekuwa na hela ya kujipodoa, mbona wasingeonekana!!!! Chagua mchumba asubuhi akiwa katoka kuamka!
jamani izo picha za juu bila make-ups kama mwanaume kha!
kiasi kikubwa aiseee.......khaaa......unataka nikimbiwe....?
hebu nikabandike zangu nyusi saa hizi kwa Zahoro.......inahuu....
hahhaaaaaaaaaaa huyu itakua anafanana na baba yake si bure ...si wajua kua ile mtoto kufafa na mama na baba sasa yeye naona kafata kwa baba yakeHagahahaha kama nisingeona jina lake ningejiuliza hili dume gani lol
Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
Na hiyo ndo sababu sipaki make up kabisaa! Mtu unaogopa kutoka ndani kwako bila makeup usionwe, inahuu?
What you see is what you get. Sio siku ukistuka usingizini ukaniona unapiga yowe unadhani ni jini, nope. Natural skin all the way, moisturiser na baby powder+ lip gloss.
jamani izo picha za juu bila make-ups kama mwanaume kha!
hahhaaaaaaaaaaa huyu itakua anafanana na baba yake si bure ...si wajua kua ile mtoto kufafa na mama na baba sasa yeye naona kafata kwa baba yake
u made ma day lol! ila kweli si vema sana mana siku ukisahau tu imekula kwako na utajutaje sasa ....bora hata usiwe unapaka daily iwe mara moja moja kwa tukio maalum may beNa hiyo ndo sababu sipaki make up kabisaa! Mtu unaogopa kutoka ndani kwako bila makeup usionwe, inahuu?
What you see is what you get. Sio siku ukistuka usingizini ukaniona unapiga yowe unadhani ni jini, nope. Natural skin all the way, moisturiser na baby powder+ lip gloss.