HALELUYA MOSHI
JF-Expert Member
- Aug 14, 2014
- 2,122
- 1,203
Kumbe unakubali kuna baadhi ya makosa yamesababishwa na Lowassa, sasa kama kuna ufisadi anahusika unapata wapi ujasiri wa kumtetea.
Sawa tumeichoka ccm, na waliosababisha ccm ichokwe ni Pamoja na Lowassa na genge lake.
Leo anapata wapi uhalali wa kuwania urais ikiwa faili lake Lina makando kando yasiyo na majibu?
Na mkijitaidi kijibu mnasema Mbona ufisadi haukuisha hata pale alipoondoka .
Hivi toka lini kosa likafutwa kwa kosa.?
Asante sana!
Lowasa ni mmoja kati ya mafisadi hatar waliofanya ccm ichokwe! ! ! Unaweza kuwa uko sahihi! !
Hao wengine wako wapi? (hiv tunavoongea)
Hebu tufanye lowassa kaenda monduli kupumzika! !
Kina tibaijuka wako wapi?
Chenge yuko wapi?
Wengine wale hatar 10 wako wapi?