am i ....normal

Sasa sindo aanze mchakato!!
Fynest acha wapenzi wa disco wang'ang'anie disco we jitafutie ka-malaika au ka-prince kako kakufurahishe siku zote!!:A S-baby:

Sasa ndo kusema unataka aanze na wewe au??? Maana naona unajipigia debe kiaina!!
Am watching u closely!!!!!!!!!
 
Yaani kulazimisha kuwa mama? One thing i believe ni kuwa kama wewe na mwenzi wako mmekaa chini na kupanga what you want and what you need definitely hapo hakuna cha wito wala kulazimishwa, being a mother it comes automatically wanaotupa watoto its a result ya kukwepa na kukimbia majukumu, kutokujiandaa na kutokuwa na mipango madhubuti ya jinsi gani ya kumlea huyo mtoto


TF mi nilipata mtoto wakati sikujiandaa infwakiti hata mipango madhubuti ya huyo mtoto nilikua sina ilitokea tu nikabeba mimba mwe! nilivyokua mjamzito nilikua naogopa hayo majukumu lakini baada ya kuzaa lol niliyaface yote. Wanaotupa watoto lazima wana tatizo ubongoni my dear.

Hainiingii akilini uwe na ujauzito wa wiki moja, unauangalia
wiki mbili umetulia unachekelea
Mwezi wa kwanza unazidi kumung'unya ukwaju na kulamba udongo
Mwezi wa pili ......................... tisa
Unazaa mtoto kwa uchungu analia ng'aaaaaa unamtupa.

Hii hainiingii akilini hata kidogo lazima utakua na matatizo makubwa ya akili ila hujijui
 
[/SIZE][/B]TF mi nilipata mtoto wakati sikujiandaa infwakiti hata mipango madhubuti ya huyo mtoto nilikua sina ilitokea tu nikabeba mimba mwe! nilivyokua mjamzito nilikua naogopa hayo majukumu lakini baada ya kuzaa lol niliyaface yote. Wanaotupa watoto lazima wana tatizo ubongoni my dear.

Hainiingii akilini uwe na ujauzito wa wiki moja, unauangalia
wiki mbili umetulia unachekelea
Mwezi wa kwanza unazidi kumung'unya ukwaju na kulamba udongo
Mwezi wa pili ......................... tisa
Unazaa mtoto kwa uchungu analia ng'aaaaaa unamtupa.

Hii hainiingii akilini hata kidogo lazima utakua na matatizo makubwa ya akili ila hujijui

Kuna tofauti kubwa sana kati ya MAMA na SHETANI mwenye umbo la kike.
 
[/SIZE][/B]TF mi nilipata mtoto wakati sikujiandaa infwakiti hata mipango madhubuti ya huyo mtoto nilikua sina ilitokea tu nikabeba mimba mwe! nilivyokua mjamzito nilikua naogopa hayo majukumu lakini baada ya kuzaa lol niliyaface yote. Wanaotupa watoto lazima wana tatizo ubongoni my dear.

Hainiingii akilini uwe na ujauzito wa wiki moja, unauangalia
wiki mbili umetulia unachekelea
Mwezi wa kwanza unazidi kumung'unya ukwaju na kulamba udongo
Mwezi wa pili ......................... tisa
Unazaa mtoto kwa uchungu analia ng'aaaaaa unamtupa.

Hii hainiingii akilini hata kidogo lazima utakua na matatizo makubwa ya akili ila hujijui
The Following User Says Thank You to Maty For This Useful Post:

The Finest (Today)​
 
muda muafaka ukifika Pauline mawazo yote na fikra zote ulizonazo kwa sasa zitafutika kabisa.wewe unaweka socialization mbele kwa sasa ila kuna kipindi kitafika utagundua sio lazima kwenda club ni muda wa kulea. time will tell...
 
[/SIZE][/B]TF mi nilipata mtoto wakati sikujiandaa infwakiti hata mipango madhubuti ya huyo mtoto nilikua sina ilitokea tu nikabeba mimba mwe! nilivyokua mjamzito nilikua naogopa hayo majukumu lakini baada ya kuzaa lol niliyaface yote. Wanaotupa watoto lazima wana tatizo ubongoni my dear.

Hainiingii akilini uwe na ujauzito wa wiki moja, unauangalia
wiki mbili umetulia unachekelea
Mwezi wa kwanza unazidi kumung'unya ukwaju na kulamba udongo
Mwezi wa pili ......................... tisa
Unazaa mtoto kwa uchungu analia ng'aaaaaa unamtupa.

Hii hainiingii akilini hata kidogo lazima utakua na matatizo makubwa ya akili ila hujijui

Mi hua nachoka na visingizo vya sijajiandaa sijajiandaa.....mangapi hatujiandai nayo hapa duniani na bado yakitufika tunakabiliana nayo???
Hao watupaji watoto na wanabaki nao ila hawawajali ni wabinafsi tu waliopitiliza....wanataka kil akitu kiwe kuhusu wao!!Kitendo cha kumjali na kumweka mtu mwingine kabla yao kinakua kinawauma sana!!!

Kubeba mimba tu sio kua mama.....
Kuzaa na kutupa hakukufanyi mama...
Umama uko kwenye kua na roho ya upendo na yenye kujali!!Ndo maana wengine hawajazaa wao ila bado wanaitwa mama na wanastahili!!

Hongera dear kwakuipokea hiyo changamoto na kuigeuza baraka na furaha yako!!!Natamani wengi wetu tungekua hivyo!!!:happy:
 
Duh Pauline raha ya kuwa na watoto huwezi linganisha na kitu chochote duniani, nafikiri kwa sababu u msichana mdogo na bado unapenda starehe ukikua hayo mawazo yote yataisha na utatamani kua na mtoto. Starehe haziishi mrembo, embu fikiria wazazi wako wangekuwa na mawazo hayo si usingekuwepo? hilo ni pepo likemee kabla halijakushika mdogo wangu la sivyo utazeeka ndani ya nyumba peke yako ukose hata mjukuu wa kukutoa nje uote jua. MTOTO NI ZAWADI NZURI SANA MUNGU KATUPATIA IFURAHIE. Ila kama unahisi hauwezi usizae usije mtesa mtoto bure
 
muda muafaka ukifika Pauline mawazo yote na fikra zote ulizonazo kwa sasa zitafutika kabisa.wewe unaweka socialization mbele kwa sasa ila kuna kipindi kitafika utagundua sio lazima kwenda club ni muda wa kulea. time will tell...

Akifika miaka ya thelathini huko ndio atajua umuhimu wa watoto, sasa hivi mwache acklabuke kwanza, halafu miaka ikienda sana kuna miuvimbe huwa inajitokeza kwenye kizazi cha msichana mara ingine inasababisha upatikanaji wa mimba uwe mgumu sana
 
Mi hua nachoka na visingizo vya sijajiandaa sijajiandaa.....mangapi hatujiandai nayo hapa duniani na bado yakitufika tunakabiliana nayo???
Hao watupaji watoto na wanabaki nao ila hawawajali ni wabinafsi tu waliopitiliza....wanataka kil akitu kiwe kuhusu wao!!Kitendo cha kumjali na kumweka mtu mwingine kabla yao kinakua kinawauma sana!!!

Kubeba mimba tu sio kua mama.....
Kuzaa na kutupa hakukufanyi mama...
Umama uko kwenye kua na roho ya upendo na yenye kujali!!Ndo maana wengine hawajazaa wao ila bado wanaitwa mama na wanastahili!!

Hongera dear kwakuipokea hiyo changamoto na kuigeuza baraka na furaha yako!!!Natamani wengi wetu tungekua hivyo!!!:happy:
Well said desh desh
 
hapo nilipobold naona ndio penye tatizo.....wengi wanalichukulia ni jukumu la mwanamke zaidi,kweli fanya utafiti wa wababa wangapi hata wanajua kubadilisha mtoto pampers,uone utakavyoshangazwa?!

Kwenye red tupo wengi na hata kubadilisha nepi pia. Zamu za kuwasaidia wake zetu wanapokuwa wamejifungua especially kupakata mtoto usiku ili mama apumzike ni jukumu la kila responsible husband. Ila sidhani kama baba anaweza kushawishika kupakata mtoto ili mama aende club au night parties. Ili uwe mama kamili kuna vitu lazima u-sacrifice na ukubali uko kwenye serious business ya kumlelea na kumtoa mtoa awe mtu mzima kama wewe. Vitu kama kwenda club na night parties visikufanye uone kuwa mama ni shughuli nzito kwani mambo kama hayo siyo ya lazima katika maisha otherwise unless umekuwa addicted nayo. Kuwa mama mzuri is a matter of decision na time. Ushirikiano wa wazazi lazima utoke pande zote na husband hutoa msaada pale anapoona mkewe anajituma lakini kama ni wa kiguu na njia usitegemee support kubwa kutoka kwa husband.
 
Kwa kweli Mie napenda sana watoto ila napenda nizae nikikamilisha mipango yangu yoote niliyojipangia ndio nizae, sijawahi pata hali kama iliyokupata Pauline pamoja na kulea watoto wa ndugu zangu wengi sanasana imenipa tamaa tu na kujiambia siku moja Mungu akijalia na mimi nitakuwa na wangu
 
Kwa kweli Mie napenda sana watoto ila napenda nizae nikikamilisha mipango yangu yoote niliyojipangia ndio nizae, sijawahi pata hali kama iliyokupata Pauline pamoja na kulea watoto wa ndugu zangu wengi sanasana imenipa tamaa tu na kujiambia siku moja Mungu akijalia na mimi nitakuwa na wangu
Usipokamilisha kwenye huo muda uliojipangia???
 
Back
Top Bottom