The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,607
- 6,071
Thanks Keren....possible candidate to become a mother Mungu bado ananiandaliaWith God everything is possible! All the best my brother
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks Keren....possible candidate to become a mother Mungu bado ananiandaliaWith God everything is possible! All the best my brother
Kama unampenda utamlindaduh napokuwa na watoto nyumbani na watoto wakubwa kama ww daima natumia kinga
Keren umemuona Kaizer eheee, anataka niwe msejaMhhhh....Kazier mbona unamtisha mwenzio hivyo bana???!!!!
Mzima lakini wewe?
:israel::israel::israel::israel:Fidel hiyo najua ni batch ya kwanza bado ya piliMwenzio mpaka sasa ninao 10 nataka nifunge kabisa mirija ya risasi
duh napokuwa na watoto nyumbani na watoto wakubwa kama ww daima natumia kinga
i'm comin a litle bit personal...how old are you pauline? Na hiyo semester unayozungumzia ni zamani kodogo au, i mean are u stil at university? And if yes, ni mwaka wa ngap.? I can be of a good advice kama ukinijibu, please
Mama mkwe umenimix kabisa hapo? Kinga dawa ya penzi?
Keren umemuona Kaizer eheee, anataka niwe mseja
....Nimeishi na dada yangu katika kipindi cha mwisho (last semmester) cha ujauzito mpaka alipojifungua mtoto wa kiume...mwenzenu sijui kwa nini,kumuona dada yangu anavyohangaika na mtoto limeniput off kabisaa mimi kuzaaa na kulea!.....jamani sio kazi rahisi especially siku za kwanza,nimeona hata usiku kila baada ya lisaa limoja mtoto alikuwa analia,inabidi ambembeleze ampe maziwa etc HULALI. .....pia kuwa na mtoto kumemzuia kwenda kusocialize kwenda club,parties etc....
...nauliza nyie wamama wa JF how do you balance being a mother,a wife ana may be full time worker........kwa sababu kila nikiangalia mwenzenu naona kama YATANISHINDA,hilo la umama naona kama nitalisacrificE nibaki hivi hivi...LOL
mwenzenu naona U MAMA ni wito kama vile ulivyo upadre LOL,'sio wote 'wanaitwa'! hehehe....kuna wanaowaza kama mimi au???????????????????????
Happy mothers day to all mamas here in JF,some of us understand how much you sacrifice for the sake of your kids...BIG UP TO YOU ALL....
Pauline mambo?
You are not normal asee. Hebu piga moyo konde ulete viumbe duniani bana. Mama yako na mama yangu wangekuwa selfish kihivyo tungekuwa hapa duniani? Mwanamke aliye normal -ukiondoa imani za baadhi ya watu wanaofuata wito wa utawa- anapenda sana kuitwa mama!...Lakini kuukataa umama kwakuwa tu mtoto atakusumbua kwa kulia usiku na kukunyima kososholaiz.......babu hakubaliani nalo. Utafikia umri ambao hautahitaji kwenda huko kwenye kuparee...........umri noma wewe. Basi hapo ndipo utaujua umuhimu wa kuwa na mtoto/watoto.
Hebu kazae huko, babu atakuchapa.
Babu anarudi kitandani.
According to your thread, you are abnormal. What if you mother could say what you are saying here? Ungekuwa wapi? Ni mangapi mama yako kapitia? Inawezekana ana watoto zaidi ya 5 bado aliwalea na furahi fujo zenu.
Hivi kuna wanawake wako selfish na irresponsible kama wewe? Funga na kuomba maana mungu amesikia kilio chako na atakifanyia kazi.
Glory be to god.
Pauline mambo?
You are not normal asee. Hebu piga moyo konde ulete viumbe duniani bana. Mama yako na mama yangu wangekuwa selfish kihivyo tungekuwa hapa duniani? Mwanamke aliye normal -ukiondoa imani za baadhi ya watu wanaofuata wito wa utawa- anapenda sana kuitwa mama!...Lakini kuukataa umama kwakuwa tu mtoto atakusumbua kwa kulia usiku na kukunyima kososholaiz.......babu hakubaliani nalo. Utafikia umri ambao hautahitaji kwenda huko kwenye kuparee...........umri noma wewe. Basi hapo ndipo utaujua umuhimu wa kuwa na mtoto/watoto.
Hebu kazae huko, babu atakuchapa.
Babu anarudi kitandani.
Unamaanisha kinga ya kuongeza wawiliyani kwa huyu naona bora nitumie kinga ya ngao mwenzie namwambia tayari nina 10 yy anataka tuongeze tena wawili kama ananipenda si tuendelee tu kulea hawa kwanza?
yani kwa huyu naona bora nitumie kinga ya ngao mwenzie namwambia tayari nina 10 yy anataka tuongeze tena wawili kama ananipenda si tuendelee tu kulea hawa kwanza?
Pauline mambo?
You are not normal asee. Hebu piga moyo konde ulete viumbe duniani bana. Mama yako na mama yangu wangekuwa selfish kihivyo tungekuwa hapa duniani? Mwanamke aliye normal -ukiondoa imani za baadhi ya watu wanaofuata wito wa utawa- anapenda sana kuitwa mama!...Lakini kuukataa umama kwakuwa tu mtoto atakusumbua kwa kulia usiku na kukunyima kososholaiz.......babu hakubaliani nalo. Utafikia umri ambao hautahitaji kwenda huko kwenye kuparee...........umri noma wewe. Basi hapo ndipo utaujua umuhimu wa kuwa na mtoto/watoto.
Hebu kazae huko, babu atakuchapa.
Babu anarudi kitandani.
24hrs kitandani???
Nani kasema sifa kuu ya babu ni uvivu???
Mababu wako ngangali bana . . . .
ah ah ah babu anarudi bed kutafuta toto ingine lol
babu mie nahisi hata hilo la umama lina wito,sio wote wanaitwa,wengine wanalazimishia tu sababu as a society jamiii inakuexpect at certain time and age uitwe mama,whether you are ready ama you want it,hio ni ishu nyengine...
mie mwenzenu bado hamjaniconvince, u loneliness ukiwa mzee hauwezi kunisukuma nikazaa sababu who knows nitaishi kufikia kuitwa mzee?:happy:
Baba akienda kitandani mjue bibi anamsubiri. Kazi inaendelea.